Ni kweli Steve Nyerere na Nsndy wanatumiwa kuandaa hizo sauti, pale oysterbay, wameanza rehersal siku nyingi, watazituma mitandaoni.Hii ni kweli?
HABARI HIZI NI ZA KWELI KWA 100% na itakuwa ni ujinga km hiyo Audio wanaendelea kuitoa ili waisambazeNi kweli Steve Nyerere na Nsndy wanatumiwa kuandaa hizo sauti, pale oysterbay, wameanza rehersal siku nyingi, watazituma mitandaoni.
Pia wana andaa muvi kama ile ya Gwaji boy, Mbowe akiwa na Mbung mmoja simtaji, wa viti maalum aliyehama.
Watanzania wengi ni WAJINGA maana CCM imeanyima ELIMU BORA na kuwapa BORA-ELIMU, watapewa clip, itatangazwa na media zao, watatumia WASAFI TVNA CLOUDS kumchafua Mbowe, mbowe atakosa JUKWAA LA KUKANUSHA, inapita na wapumbavu wanabaki kuamini, kama walivyo aminishwa korona haipo.HABARI HIZI NI ZA KWELI KWA 100% na itakuwa ni ujinga km hiyo Audio wanaendelea kuitoa ili waisambaze
Siasa hazienani hivi jamani
Watanzania wengi ni WAJINGA maana CCM imeanyima ELIMU BORA na kuwapa BORA-ELIMU, watapewa clip, itatangazwa na media zao, watatumia WASAFI TVNA CLOUDS kumchafua Mbowe, mbowe atakosa JUKWAA LA KUKANUSHA, inapita na wapumbavu wanabaki kuamini, kama walivyo aminishwa korona haipo.
MM sio Mkiti wangu maana sipo Kisiasa, kwani hao kina Mama mbona nao wamechukuliwa kisiasa weka hapa madudu waliyoyafanya kwenye Night ClubYaani hata kwa hili mnataka kumtetea chairman km mlivyomtetea kipindi kile kwa wema sepetu
Yes, kama vile mnavyotumia masaburi kufikiri, CAG hakagui hesabu za CHADEMA eeh, internal auditor hawana na external hawana eeh, nyie mmebaki kama kichaa kiroboto tuKama nyie mnavyo Amin kua hajapiga hela watanzania wote wajinga sema ujinga unatofautiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana hapo Lumumba vijana wameabandikiwa tangazo kwenye notice board kuwa wakiandika habari yoyote mbaya na kuihusisha na neno "Mbowe" zaidi ya mara 3000 per day wanalipwa buku 7 na miatano.
Yaani kuna ongezeko la miatano kwenye malipo ya task ya leo.
Na kupewa vyeo, na wameahidiwa kujiunga tisi, yaani kila wakilala wakiamka wanamuwaza Mbowe, bora hata Billcanas ilivunjwa kwa dhuluma maana LUMUMBA wangeweza ichoma na watu ndani basi tu kumkomoa MboweInasemekana hapo Lumumba vijana wameabandikiwa tangazo kwenye notice board kuwa wakiandika habari yoyote mbaya na kuihusisha na neno "Mbowe" zaidi ya mara 3000 per day wanalipwa buku 7 na miatano.
Yaani kuna ongezeko la miatano kwenye malipo ya task ya leo.
Aliyekuwa kajificha kwa miezi miwili huko CHATU?Huu ni uwongo, turudi kwenye swali unazichukuliaje tabia za chairman ?
Kama kawaida yako!Km umefuatilia siasa wiki iliyopita na Wewe lazima utafakari
ana tabia nyingi:Chairman Mbowe