Hii pekee ipo Rwanda

Eti natoka Daslam,hahahaaa
 
Bado ujawajua vizuri wewe umeenda kiofisi nenda kibiashara au waulize wafanyabiashara wadogo watakuambia tabia zao za ndani hao polisi unaowaona wapelekee shtaka la wewe umdhurumiwa kama watakusaidia hao! Ikiwa mrwanda mwenzao ametendewa vibaya na mtanzania utawajua mrwanda ni nani na hupo hapo kimaslai kwao tabia za warwanda na waburundi ni moja wabinafsi sana na wanateteana walinitoa machozi nimerudi Tanzania macho yamenivimba nilikumbuka marehemu wotee,!
 
Ndio mtukufu anataka wadanganyika waishi namna hiyo!
 
Hongera umetuletea zawadi gani sasa baada ya stori ndefu
 
Watu mna Lugha ngumu sana...Eti...wanakokota miTETEA
 
Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.

Magpdolo yapo hivyo kwa sababu ya maumbile yao ya kike ukigusa tu binti anapizi maji mengi humtoka hasa ukichezea harage, na hii ipo na kwa Warundi pia!
 
Ngoja waje, mi sina Millioni 7
 
Umuhimu wa plastick cover kwenye godoro hukuugundua ulivyomng'oa yule demu wa kitutsi pale club mkuu......
Kwa hilo hakumtendea haki demu na wala hakutuwakilisha vizuri wa TZ...plastic cover ingekuwa tapwa tapwa kwa maji km ungegegeda kisawa sawa!
 
Hizi ni porojo na propaganda kutaka kuisafisha Rwanda dhidi yetu Tanzania ili ionekane ni watu wema kumbe ni unafiki tu!. Tumeshituka na wewe JPM kuwa makini na hawa Warwanda sio watu wema kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…