Hii nimeinyaka mahali, utajiri mzuri lakini......

Hii nimeinyaka mahali, utajiri mzuri lakini......

Acha ushabik maandazi ....inavyoelekea hujaelimika wewe ...ina mana wote wanaotoa post humu jf hawana lengo la kufunza jamii bali wajiunge na kinachopostiwa??? ushaona wap ujinga wa namna hio...naitaj kuona cv yako mana level thinking yako iko chini sana pole
Nakuona shetani kazini,
sina mda huo.
Umepotea njia shetani wewe.
 
Madhara ya sinema za ki-Nigeria,si yeye tu ,kuna watu wana mawazo kuwa yale wanayoyaona kwenye sinema hizo yana uhalisia ama yamewahi kutokea.Huyu anahitaji psychosocial support kwani ameathirika kichwani.Mimi familia yangu siruhusu kabisa mtoto ambaye hajakomaa akili kuangalia movies za Ki-Nigeria,za vitisho,mauaji,anaconda ETC.
Siku hizi unakuta kwenye the so called makanisa ya kiroho mtu kavaa katambuga na suruali ina viraka anatoa ushuhuda alivyokuwa free mason na heti walivyokuwa wanajiunga na free mason na kula nyama za watu,hata maana yenyewe ya Free Mason imepotoshwa,watu hawajuhi tofauti kati ya Iluminats na free mason,wanga na wachawi.Labda Mshana Jr aje atoe somo kwa kirefu juu ya mambo haya.
 
Kwenye kukaa kwangu hapa mjini niliwahi kusikia jambo ili tena kuna memba ambao ni public figure,shetani tumia njia nyingi sana ili azima yake itimie,mshike Mungu
 
Kama unataka kujitoa unashindwa nini? wewe ndie uliyeingia na unayejua mikataba ya huko, sie tukuambieje? Fanya uamuzi wako.
 
Na alaaniwe yeyote yule anayetuletea 'chai' wakati huu ambao SUKARI haionekani hata kwenye google.

Otherwise, tangazo hili lina 'akili'.
 
Hivi kiama lini wadau?! Nahisi Jamaa kama kajisahau fulani hivi... au kaamua kutupotezea kimoja?!
 
kabwe makenika jitu kumbuka katika vita ZIDI ya unyama wa mafia MOB.
 
Upo kwenye mto wenye mamba ushapga sana mbiz kujiokoa na muda wowote unaweza kuliwa na unatumia muda vibaya kuisubir hatar, cjaona haja ya kusubir ushaur ila ulichokiomba ndio jib. Ahsante kwa kuujulsha umma kua kuna hilo jambo linaendelea, pindi utakapotoka huko tafadhal tujulishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom