hii nimeikuta mahali jamani....EBU ONA...

Leo umetuamulia ila yote cz yke ni nyie kila kona mnakaba.unakuta mdada kila cku yuko bar anatega tena w haja halafu ukimpa hi tayari wko
Nenda b bar, calabash, shkamoo pesa.jackies, jb belmont etc wko.so wa2 wanajilia kwa raha zao

Ukifika hom wife katoka job kachoka mara n kichomi, mara leo naskia chembe y moyo, mara mshono unauma nkitafuta msaidizi utalalamika
 
tehe tehe, sister wangu huyu jamani aaah anavituko, ngoja niende hapo jirani tuna kikao na wafanyakazi wenzangu tutaonana baadaye
 
Back
Top Bottom