Hii ni timu ya serikali, nani anabisha?

Hii ni timu ya serikali, nani anabisha?

Kwani Polisi Ni Mali au Wako Chini Ya Nani? Hivi Jamani Hili Ni Swali La Mtu Kuuliza Kweli? Kwa Mtindo Huu Mtakuwa MAPOPOMA Sana Tu!

Napata tabu kung'amua uwezo wa elimu yako...

Kwa hiyo askari kuwa waajiriwa wa serikali kunawafanya wao kuwa serikali?

Na pia mtu akipiga picha na askari basi anakuwa ni sehemu ya serikali?
 
Napata tabu kung'amua uwezo wa elimu yako...

Kwa hiyo askari kuwa waajiriwa wa serikali kunawafanya wao kuwa serikali?

Na pia mtu akipiga picha na askari basi anakuwa ni sehemu ya serikali?

Mkuu Usipate Taabu Elimu Ni Ndogo Sana Hivyo Usipoteze Muda Wako Na Mimi Nisiyesoma au Kuwa Na Elimu. Hongera Zako Msomi Wewe!
 
Mkuu Usipate Taabu Elimu Ni Ndogo Sana Hivyo Usipoteze Muda Wako Na Mimi Nisiyesoma au Kuwa Na Elimu. Hongera Zako Msomi Wewe!

Huna haja ya kunipa hongera kwani wewe ndiye uliyeanza kuleta lugha ya dharau pale juu kwa swali ambalo niliuliza kiungwana kabisa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom