Hii ni timu ya serikali, nani anabisha?

Hii ni timu ya serikali, nani anabisha?

attachment.php
 
kwa uelewa huu bado tuna safari ndefu mno. wacha wezi waendelee kuiba tu rasilimali zetu.
 
mibangi imemponza huyo dogo, angekuwa mbali sana lakini mibangi sana mademu sana mpira umeishia chini kwake. hana lolote hapo alipo hata stand united ya shinyanga haiwezi kumpokea.
 
mibangi imemponza huyo dogo, angekuwa mbali sana lakini mibangi sana mademu sana mpira umeishia chini kwake. hana lolote hapo alipo hata stand united ya shinyanga haiwezi kumpokea.

Hivi ni nani huyo?
 
...serikali iko wapi katika hiyo picha?
 
Hata wao wanahaki ya kuwa na ushabiki wa Timu waitakayo.
 
...serikali iko wapi katika hiyo picha?

Kwani Polisi Ni Mali au Wako Chini Ya Nani? Hivi Jamani Hili Ni Swali La Mtu Kuuliza Kweli? Kwa Mtindo Huu Mtakuwa MAPOPOMA Sana Tu!
 
Hata wao wanahaki ya kuwa na ushabiki wa Timu waitakayo.

Askari Wa Nchi Zilizokwisha Endelea Huwa Wanafanya UPOPOMA Wa Aina Hii? Acheni Kutetea Upuuzi Askari Akiwa Na Uniform Anatakiwa Kuwa Neutral. Sasa Naamini Kumbe Binadamu Tunapishana Mno KIAKILI Na KIFIKRA!!!!!!!
 
Askari Wa Nchi Zilizokwisha Endelea Huwa Wanafanya UPOPOMA Wa Aina Hii? Acheni Kutetea Upuuzi Askari Akiwa Na Uniform Anatakiwa Kuwa Neutral. Sasa Naamini Kumbe Binadamu Tunapishana Mno KIAKILI Na KIFIKRA!!!!!!!

well said mkuu
 
Jeshi la Polic lilishajibinafsisha kwa vibaka, wavutabangi, machangudoa n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom