...There are many ways of committing political suicide.........
Hana jipya hata akienda huko....toka ateuliwe kwenye kamati ya madini, amekuwa mjasiliamali zaidi. Bwana mdogo ameshapata alichokuwa anakitaka.
Toka amewekea keki mdomoni, ameamua kuwa mtafunaji tu.....akifungua mdomo kutaka kuongea...analishwa keki, kinachofuata ni kuitafuna mapaka iishe...ingawa sijui itaisha lini.
Sijui wako wapi wale waliokuwa wakimwona kama mkombozi wa wanyonge....waje watueleze imekuwaje!!
Huyo dogo ni maarufu kwa hoja zake ila ukweli ni kwamba siasa hajui mbishe msibishe. Nilimshangaa aliposema anamuunga mkono Kafulila wa NCCR mageuzi wakati yeye ni Naibu katibu Mkuu w3a Chadema, Inawezekana vipi katika medani ya siasa George Mkuchika kumuunga mkono Profesa Lipumba agombee Urambo halafu CCM wamwache aendelee na nafasi hiyo. Mwenyewe sitakubali ningekuwa mwenyekiti wa CCM.
Zito asidhani kuwa akihamia CCM atapata ubunge, hiyo ni ndoto abakie hapo alipo akiona amekosa aache siasa kama alivyowahi kutamka mwenyewe. jukwaani.
hivi watu kama siasa imewashinda si waje kijijini tusaidiane kilimo kwanza ?