Hii ni sawa jamani!? [Kwa wanaume tu!]

Lisa

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
1,549
1,074
hABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.

Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU? :mad::mad::mad:
 
hABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.

Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU? :mad::mad::mad:


Dada yangu Lisa pole kwanza kwa kukereka na hiyo situation hapo home kwako.Nadhani ni vzr ungekaa one to one na mwenzio umuelezee kero yako na kama ni muelewa atakuelewa tu.Sio wanaume wote wako hivyo.
 
Na bado unalala hoi unashindwa kufanya kung fu moves kitandani daily. Unaletewa small house manake unaambiwa humridhishi. Kuwa mwanamke ni ajira tosha. Najichubua hapa nitafute lace wig niwinde muarabu mwenye kisima cha mafuta nianze kukaa home kutwa kama natalia mie!
 
hABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.

Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU? :mad::mad::mad:

We kwanini ukae kwenye dressing table masaa ma3?
Unajipamba kwa ajili ya nani mwingine?
 
Atakua ana Matatizo Mmeo ama ana kasoro namaanisha kiakili.ama pengine ana ugojwa wa kusahau nashindwa nimuelelezeje :hail:
 
hABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.

Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU? :mad::mad::mad:

Hii inaonyesha ni mume wa aina gani uliyempata. POLE kwa maswahibu yanayokukumba.
Si wanaumme wote wako hivyo, hii ni tabia ya baadhi ya wanaume waliolelewa katika familia kila kitu anafanya mfanyakazi, anapeleka tabia hii hadi nyumbani kwake.
Cha kufanya kaa nae chini huyo mme wako na mueleze, nini hisia zako kuhusu suala zima la ushirikiano wa kazi ndani ya nyumba.
 
na bado unalala hoi unashindwa kufanya kung fu moves kitandani daily. Unaletewa small house manake unaambiwa humridhishi. Kuwa mwanamke ni ajira tosha. Najichubua hapa nitafute lace wig niwinde muarabu mwenye kisima cha mafuta nianze kukaa home kutwa kama natalia mie!
we acha tu ! Tena unaweza ukawahi kuamka hivyo ukirudi chumbani ili uende ukaoge anakurudisha kitandani uumpe cha asubuhi halafu ndiyo ukaoge ! Lkn bado anakuuliza ulikuwa wapi saa zote? Kwa kweli nimekasirika sana
 
naomba nikuulize swali na wewe unafanya kazi au ni mama wa nyumbani??
 
hABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.

Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU? :mad::mad::mad:

pole sana, siyo wewe tu, FOLENI NDIYO INATUSUMBUA...LAKINI HAIMANISHI KWAMBA HATUTAMBUI UMUHIMU WENU, HILI NIMESHALISHUHUDIA MARA KADHAA. ANYWAY...POLE SANA JARIBU KUSEMA UKWELI KWA BABA WATOTO
 
naomba nikuulize swali na wewe unafanya kazi au ni mama wa nyumbani??

Angekuwa mama wa nyumbani, angepigiwa honi ya nini?

Bahati mbaya sana Lisa kamvua mmewe nguo hadharani hapa akijiaminisha wanaume wote tuko hivyo.

Si mambo yote ya kuleta humu jamani, mnadhalilishana tu. Mambo kama haya ni ya kukalishana kitako na kuwekana sawa. Ni vijimambo tu hivi!

Ni mimi ODM nawashaurini wakati nikirejea mapangoni Torabora.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana lisa,kuna baadhi ya wanaume hawajitambui,asikwambie mtu saikolojia ya mwanamke ni nyepesi sana
mpende,mbembeleze,mjulie hali,mawasiliano mazuri,mpe pole kwa kazi ngumu na nyepesi then payback yake you wont believe!
na ndoa itakuwa poa sana!!thread kama hizi hatutaziona tena humu
 
hABARI ZA ASUBUHI
mm ninaswali kwa wanaume ambao mlituona tunafaa kuwa wake zenu na kuwa mama wa watoto wenu.

Ninalala wa mwisho kuangalia kama kila kitu kiko sawa na kuhakikisha kama milango imefungwa na sitting room , jikoni na sehemu zingine ziko safi.
Naandaa nguo za mume wangu pamoja na za watoto , dada anabrash viatu vyawatoto.
naamka saa 11.30 nakuandalia breakfast, naenda kuoga wewe umelala, by the time unaamka unakuta kila kitu kiko tayari, naweka hali ya chumba chetu safi,unaamka unaoga na kwenda kunywa chai wewe na wanao, halafu unakwenda kwenye gari unanipigia honi na kuniuliza ulikuwa wapi saa zote? IVI HII NI HAKI! HAMJALI YOOOOTE TUNATOWAFANYIA, AU HIYO NDIYO ASANTE YENU? :mad::mad::mad:

Dada pole kwa hili, ni mfumo dume ambao baadhi yetu bado wanao, lkn wapo baadhi wanaume bora ambao, wana appriciate kazi ngumu ya mama, na pia wanao amini kuwa LOVE IS DEMOCRASY hata kama ni mkeo ni vema ukampa amani na furaha ya nyumba yake na sikumfokea kila wakati, kwani baadhi ya wake, hawakulelewa kugombezwa makwao waliko zaliwa,
Naomba msamaha kwa niaba ya wote ambao hawafanyi sawa katika nyumba zao, tutajirekebisha na kuwa wababa wazuri sana.
 
Angekuwa mama wa nyumbani, angepigiwa honi ya nini?

Bahati mbaya sana Lisa kamvua mmewe nguo hadharani hapa akijiaminisha wanaume wote tuko hivyo.

Si mambo yote ya kuleta humu jamani, mnadhalilishana tu. Mambo kama haya ni ya kukalishana kitako na kuwekana sawa. Ni vijimambo tu hivi!

Ni mimi ODM nawashaurini wakati nikirejea mapangoni Torabora.

Ndugu dawa ya maumivu Aspilini, amekuletea wewe umpe ushauri apoze moyo wake, si kweli km kamvua nguo mmewe, ila ameona Asplin na Asplo zinaweza tuliza yale yanayo umiza moyo wake, sote ni dawa ya machungu yanao mkabili tumpe pole na ushauri apate amani.
Waego ulakotze.
 
pole sana,cha msingi mkae mzungumze tu kwasababu kuna majukumu mengi ya nyumbani ambayo hata mwanaume anaweza kuyafanya bila shida yoyote.
 
Pole sana lisa,kuna baadhi ya wanaume hawajitambui,asikwambie mtu saikolojia ya mwanamke ni nyepesi sana
mpende,mbembeleze,mjulie hali,mawasiliano mazuri,mpe pole kwa kazi ngumu na nyepesi then payback yake you wont believe!
na ndoa itakuwa poa sana!!thread kama hizi hatutaziona tena humu

courtesy
umeoa?
 
Back
Top Bottom