Hii ni 'pure class'...

 


Ndiyo maana hili jamvi lilikuwa kama limepigwa nusu kaput....

Unawezaje kuwa na jamvi bila vichaa wake......?

Ubarikiwe sana mdogo wangu..
 
Thank you The Boss...nimejifunza kitu
 
Ndiyo maana hili jamvi lilikuwa kama limepigwa nusu kaput....

Unawezaje kuwa na jamvi bila vichaa wake......?

Ubarikiwe sana mdogo wangu..
hahahahahahahahaha nimekukumbusha mbali enh!
Ilikuwa raha sana kwa kweli!
 
hahahahahahahahaha nimekukumbusha mbali enh!
Ilikuwa raha sana kwa kweli!

Duuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhh,

Watu mlikuwa mnajikunja bwana....

Kama ni lectures basi ilikuwa kama kila siku mtu anakutana na professorial inaugural lectures hapa JF, tena ndani ya MMU...!!

Basi tena, ni vizuri tukashukuru pia kwa hizo sherehe badala ya kulaumu kwa kupitiliza!
 
Kwa kweeeeli Thank you the party!
Cc @gfsowin cacico Mtambuzi SnowBall Mr Rocky The Finest Fixed Point King'asti Kaunga Kongosho Boflo madame x Passion Lady Kaizer Asprin Nicas Mtei Mentor KOKUTONA Nyamayao mwaJ Kaka Kiiza amu nyumbakubwa BAK Zion Daughter farkhina watu8 Eiyer Sikonge Madame B EMT jouneGwalu dah hii list inavoendelea the party inazid kuwa alive aseee !
Miss you guys!
 
Last edited by a moderator:
Ila kwa kuwa this thread is so classy!
Ngoja nikumithi na we we!
Those madeys ya kummerge Dark City na Fixed Point!
Hahahahahahaha
Mwaaaaaa for that kaizer!

Unataka kuanza tena uchokozi wako na wewe?

Ila kuna wakati mtu ulikuwa unapata hisia za kemia fulani vile....ila kwa sababu ya ustaafu unakausha....

Ukimwona Fixed Point msalimie sana....

Babu kammiss sana aisee!!
 
Last edited by a moderator:
Unataka kuanza tena uchokozi wako na wewe?

Ila kuna wakati mtu ulikuwa unapata hisia za kemia fulani vile....ila kwa sababu ya ustaafu unakausha....

Ukimwona Fixed Point msalimie sana....

Babu kammiss sana aisee!!
Babuuuuuuu
Yale malalamiko yako ya ustaafu nilikuwa siiiiiina mbavu!
AK 47 ilikukatili sana aseee khaaaaa hiiiiiiiv hiiiiiiivi unanyanyasika?
Thank you for the party ,I had best of my times in JF kwa kweli
Mwaaaaaaah!
 
Last edited by a moderator:
Babuuuuuuu
Yale malalamiko yako ya ustaafu nilikuwa siiiiiina mbavu!
AK 47 ilikukatili sana aseee khaaaaa hiiiiiiiv hiiiiiiivi unanyanyasika?
Thank you for the party ,I had best of my times in JF kwa kweli
Mwaaaaaaah!

Ndo mambo gani tena na wewe snowhite....

Bwana ngoja nikaitike wito wa bibi....
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe snowhite huamini kwamba Babu kastaafu??
 
Last edited by a moderator:
Nataka kuprove!

We babu Algeria wanefunga goli la NNE huku!
Nkuletee kiko au siku hiz unavuta shisha?


Unataka ushahidi gani zaidi ili uamini?

Algeria wanafunga ila bado wana matobo matobo kibao...

Ndo maana anataka kukimbia. Jana Ghana walinifanya nikalala njaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…