Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,886
woow....hii imetulia....haina makwekwe wala nini....Swali lako limekaa kimtego teh! teh! lakini nikujibu mdogo wangu Preta anatumia Airtel wanaolipa kodi.
woow....hii imetulia....haina makwekwe wala nini....Swali lako limekaa kimtego teh! teh! lakini nikujibu mdogo wangu Preta anatumia Airtel wanaolipa kodi.
wacha kabisa....ile kipindi watz ndio walikuwa wanafaidi mali zao....<br /><br />
<br /><br />
HIVI BADO UNAKUMBUKAGA WALIVYOTESA HAO WASHIKAJI WA MBUGUNI Style?? Hasa enzi ya BAJA 250cc.
ngoja kwanza nakuja Arusha huko....simu yangu ukibeep tu inajipokea direct
vivian bana,lakini tulikubaliana Wine sio pombe hahaha!Nikisema pombe ina mapepo mtakataaa?
mwe..kuna kaka yangu mmoja yeye akiacha pombe basi hata pesa inamkimbia kabisa..mke wake ni mlokole lakini hata yeye mwenyewe amekubali kuwa jamaa akiacha pombe basi ngawira zinapotea sana tukweli chapa maskini kilevi asahau shida zake.
ila pombe sio nzuri wadau, imejaa hasara tupu bila faida
kweli chapa maskini kilevi asahau shida zake.
ila pombe sio nzuri wadau, imejaa hasara tupu bila faida
vivian bana,lakini tulikubaliana Wine sio pombe hahaha!
mwe..kuna kaka yangu mmoja yeye akiacha pombe basi hata pesa inamkimbia kabisa..mke wake ni mlokole lakini hata yeye mwenyewe amekubali kuwa jamaa akiacha pombe basi ngawira zinapotea sana tu
Heeee Vivian hujui sisi tunao fanya hao watumishi wafanye ufisadi hata rais wenu anazunguka kwa sababu sisi tunakunywa hela inarudi serikalini kama kodi vinginevyo asingekuwa anazunguka zunguka dunia kwa hela za migodi. Mi najisikia faraja hela yangu inamfanya rais azurule ulimwenguni bila mm asinge piga misele. Sisi ndo walipa kodi wakubwa nchi hii tukigoma kunywa rais wenu hawezi zunguka nje.
We, Alcohol %ge yake ni kubwa sana. kwani safari ina alcohol ngapi na St. Annah ina Ngapi? Jamani mamito tukinywa wine Double View unadai hunywa kwakuwa sio kilevi leo unakana.
We, Alcohol %ge yake ni kubwa sana. kwani safari ina alcohol ngapi na St. Annah ina Ngapi? Jamani mamito tukinywa wine Double View unadai hunywa kwakuwa sio kilevi leo unakana.
Ulidanganya Haina Kilevi!!
Tangu siku ile si unaona sasa najua kusoma Alchol Percentage
<br /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36586&stc=1" attachmentid="36586" alt="" id="vbattach_36586" class="previewthumb" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36586&d=1315258519" border="0" alt="" /><br />
mwe
ulevi sio noma mmesahau TBL ndo inaogoza kwa kulipa kodi, hivyo ulevi ndo unajenga bara bara, ulevi unalipa mishahara ya watumishi wa umma, ulevi unalipa ada zenu vyuo vikuu, idumu pombe daima naomba heineken yangu ya baridi nilipe kodi
Yaani Fidel Unachangia sisiemu?
duh hawa ni wanaigeria bana!!!
ni kina asamoah.hapa kwa kina ikechuku!umeona brand ya ulabu!
nimependa walivyosogeleana..