Nipo na demu wangu hii sasa mara ya pili kutokea! tukiwa 6x6 twacheza cheza jamaa anakuwa kadumu ile mbaya, nikitaka kuogelea jamaa anasinyaa ghafla!!! mwanzoni jamaa alikuwa anadumu toka tu demu anavua hadi tunamaliza mchezo na mara ingine baada ya muda si mrefu anadumu tena na hii si muda mrefu ni kama miezi 6 ilopita. Hali hii inanifanya nijisikie vibaya sana na kuwa mdogo sana! naomba mnaojua sbb mniokolee uhusiano wangu jamani.NIFANYEJE NIWEZE MAINTAIN??
Jitahidi sana Mkuu upate muda! i will appreciate Pal.
Pole sana..... inawezekana huyo jamaa anakuepusha na mengi si lazima kaka kudooo. ila nakushauri uache p.u.n.y.e.t.o huwa inaleta madhara kama hayo
Inaweza huyo demu wako anachonga sana, maana kama demu mchongaji sana huwa anakupoteze steam. Hasa akianza kuchonga wakati mnataka kufanya tendoNipo na demu wangu hii sasa mara ya pili kutokea! tukiwa 6x6 twacheza cheza jamaa anakuwa kadumu ile mbaya, nikitaka kuogelea jamaa anasinyaa ghafla!!! mwanzoni jamaa alikuwa anadumu toka tu demu anavua hadi tunamaliza mchezo na mara ingine baada ya muda si mrefu anadumu tena na hii si muda mrefu ni kama miezi 6 ilopita. Hali hii inanifanya nijisikie vibaya sana na kuwa mdogo sana! naomba mnaojua sbb mniokolee uhusiano wangu jamani.NIFANYEJE NIWEZE MAINTAIN??
Acha ulevi
Acha kula machips mayai
kura karanga, samaki, matunda, mihogo, kunywa maziwa.
Pole sana..... inawezekana huyo jamaa anakuepusha na mengi si lazima kaka kudooo. ila nakushauri uache p.u.n.y.e.t.o huwa inaleta madhara kama hayo
Mwambie ajaribu viagra kwanza kabla ya kwenda kwa madaktari unoko..................kama mwendo ni mdundo basi ajue apunguze uzito............apunguze misosi yenye mafuta mafuta...........................na adunde mazoezi ya kutosha halafu majambos yatakuwa swafi.........mwanaumme wa kawaida hata kama akiwa na mawazo kama demu amempenda mawazo hupotea na hurudi baada ya kupandishwa milima ya uluguru na kuachwa huko akuzubaa zubaa........................una mawazo yoyote? au kuna kitu kinakusumbua akilini mwako?....check that first
nitaenda kufanyia majaribio hiyo siku nikiona dose inazidi!!!1.INAONYESHA MAPENZI YAMEPUNGUA KWAKE.
2.MUULIZE VIZURI JE NI MKE WA MTU?
3.KABLA YA MECHI PUMNZIKA,MAZOEZI, KAZI NGUMU PUNGUZA.
4.USISAHAU KUTUMIA ILE SEX DIET
5. ASUBUHI PIGA CHAI YA UHAKIKA,MCHANA SHIBA SANA JIONI PIA SHINDILIA KIUHAKIKA..POTELEA MBALI UVIMBIWE,JIONI UKIINGIA ULINGOZI UTASHINDWA KUMTULIZA.....ABDALA KICHWA WAZI
6.MALARIA,PRESSURE......HUSABABISHA HAYO,YULE JAMAA HUWA ANAJAA DAMU ZAIDI KULIKO INAVYOPUNGUA...KWA AJILI HIYO,KUKIWA NA MATATIZO YA USUKUMAJI WA DAMU.........ATALALA GHAFLA
7.UNAMUAMINI SHEM? MCHEKI KICHWANI KAMA AMEWEKA PINI......UTAKESHA.
8.Naaaaa aaah yanatosha hayo...NILIKUWEPO.
May be huko ndani kwa mpenzio si..... ukikumbuka tuu unasinyaa.
Duh! Mkuu hii ndiyo nasikia! pengine labda ina ukweli! na vipi je akiwa amesuka mabutu na kuyafunga vishungi shungi hivi?????
Nashukuru mkuu, ntafanya uchunguzi.Cheki pia kwenye hayo mabutu kuona kama amechomeka kijiti au pini.
MUHIMU: Habari hizi hazijathibitishwa kisayansi lakini kuna watu wametokewa na hali kama hiyo.