Ndio mkuu, walishakuja kwenye duka langu wakafanya hivyo ila mimi ndio nahesabu wao wanahakikisha...
Commissioner's Access to Information
138. -(1) For the purposes of administering this Act, the Commissioner and every officer who is authorised in writing by the Commissioner –
(a) shall have -
(i) at all times during the day between 9am and 6pm and without any prior notice; and
(ii) at all other times as permitted by a search warrant granted by a district or resident magistrate's court,
full and free access to any premises, place, document or other asset;
Habari zenu Wakuu.
Naomba kueleweshwa kama mfanyakazi wa TRA anaruhusiwa kuingia ndani ya duka la mfanyabiashara na kufanya ukaguzi wa mapato mpaka ndani ya droo ya pesa? Hii imemtokea kwa mfanyabiashara mmoja ndani ya jiji la mwanza.