Habari Wakuu! Naulizia kuhusu hii certificate ya clearing and forwarding hii ya kupractise ya East Africa inayotolewa na chuo Cha TRA pale Mwenge. Nahitaji kuisoma kozi hiyo Ili niingie kwenye field ya kuagiza bidhaa au mizigo kutoka nje.
Pia mtu aliyesoma hiyo kozi uwanja wake katika Ajira ukoje maana kama atahitaji kuajiriwa lakini pia akihitaki kufungua kampuni yake taratibu zikoje au soko la hao watu likoje Kwa ujumla?
Nawasilisha.
Pia mtu aliyesoma hiyo kozi uwanja wake katika Ajira ukoje maana kama atahitaji kuajiriwa lakini pia akihitaki kufungua kampuni yake taratibu zikoje au soko la hao watu likoje Kwa ujumla?
Nawasilisha.