mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
- Thread starter
- #21
Nakuja PM nikuelekeze jambo. Pliz nipokee mamy.We unajiona mtoto eeh, mkubwa wewe
financial services
Nakuja PM nikuelekeze jambo. Pliz nipokee mamy.We unajiona mtoto eeh, mkubwa wewe
Nguvu mojaUkitaka kuacha kutongoza basi nenda chamani CHAPUTA,mwanaume kamili hawez kukaa wk mbili bila kutongoza...mda mwingne mm huwa nafanya kama kunoa mdomo vile
Mzee wa Kasumba.We unajiona mtoto eeh, mkubwa wewe
Ameniomba nistaafu kazi. Kwamba umri umeendaMzee wa Kasumba.
Hebu mtongoze na huyu financial services , naona hakujui huyu . Na haamini kwenye kasumba zako.
Nitamtoa nduki na hizo kasumba zake😂😂, amtongoze naniMzee wa Kasumba.
Hebu mtongoze na huyu financial services , naona hakujui huyu . Na haamini kwenye kasumba zako.
Ndiyo inabidi ustaafu!😜Ameniomba nistaafu kazi. Kwamba umri umeenda
Haya bana mzee wa kasumba! Endelea tu hata usistaafu 😂😂 achana na mimi
Bahati yako uliondoka.Angeniuwa yule..
Hongera sana ,hivi unajua kuwa wapo wanaume amabao hata hayo mawazo na ujasiri wa kumtongoza mwanamke hawana ? kama unajiona kuwa umepitiliza kutongoza hovyo basi punguza maana siwezi sema uache kabisaZilikuwa zipo 37 lakini nashkuru nimeacha tano na sasa zimebaki 32 (Namshkuru Mungu)
Habari za mchana waungana, bila shaka hamjambo (Kazi iendelee)
Hapa nimekuelewa mkuuHongera sana ,hivi unajua kuwa wapo wanaume amabao hata hayo mawazo na ujasiri wa kumtongoza mwanamke hawana ? kama unajiona kuwa umepitiliza kutongoza hovyo basi punguza maana siwezi sema uache kabisa
Nitamtoa nduki na hizo kasumba zake, amtongoze nani
Nakuvizia siku ukirudia nakata shingo yako naenda kupika supu
mzee kamalize kazi kashakubali huyuNitamtoa nduki na hizo kasumba zake, amtongoze nani
mzee kamalize kazi kashakubali huyu
Vyuo vimefungwaaaElezea na hizo kasumba 30 zilizobakia