Hii ni moja kati ya kasumba zangu 32

Endelea tu mkuu CHANJO YA UKIMWI IMEKUJA
IMG-20210818-WA0004.jpg
 
Zilikuwa zipo 37 lakini nashkuru nimeacha tano na sasa zimebaki 32 (Namshkuru Mungu)

Habari za mchana waungana, bila shaka hamjambo (Kazi iendelee)
Hongera sana ,hivi unajua kuwa wapo wanaume amabao hata hayo mawazo na ujasiri wa kumtongoza mwanamke hawana ? kama unajiona kuwa umepitiliza kutongoza hovyo basi punguza maana siwezi sema uache kabisa
 
Hongera sana ,hivi unajua kuwa wapo wanaume amabao hata hayo mawazo na ujasiri wa kumtongoza mwanamke hawana ? kama unajiona kuwa umepitiliza kutongoza hovyo basi punguza maana siwezi sema uache kabisa
Hapa nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom