Hii ni kwamasingle wote

Hii ni kwamasingle wote

Unique Flower pole kwa kupigwa na kitu kizito

kitu kizito.jpeg
 
Tutakimbia ila mbususu hatuisusi, ikijileta tunaichapa shwashwa na kusepa na mia
 
Ukiona ndoa ya mtu inaharibika? Inapumua na gesi halafu mmoja anajifanya ndio eti anaonewa . Halafu anakuja kwako eti nataka tuwe marafiki baadae tuoane tupate watoto aisee kimbia futi elfu moja .

Atakuletea shida sana kabisa mpaka ujione umekuja kimakosa duniani. Kuwa tu na mtu wako mpya ambaye hajui ndoa nini .
Ni maoni yangu
Swali la kujiuliza huyo mtu mpya unampataje,ndege wafananao huruka pamoja hii kanuni ni muhimu usisahau.
Maana watu wapya ndio hao vijana,sasa ni kijana gani ambaye hana mtoto wala Mke anaweza kuchukua single mother?? .

Yani asiache kuchukua kijana mwenzake ambaye hajaolewa na hana mtoto amended kwa single mother aliyezalishwa-hata jamii itamushangaa na may be huyo kijana awe na utindio wa Ubongo.
 
Swali la kujiuliza huyo mtu mpya unampataje,ndege wafananao huruka pamoja hii kanuni ni muhimu usisahau.
Maana watu wapya ndio hao vijana,sasa ni kijana gani ambaye hana mtoto wala Mke anaweza kuchukua single mother?? .

Yani asiache kuchukua kijana mwenzake ambaye hajaolewa na hana mtoto amended kwa single mother aliyezalishwa-hata jamii itamushangaa na may be huyo kijana awe na utindio wa Ubongo.
Nani single mother mbona unakichaa wewe ndio unautindi wa akili
 
Back
Top Bottom