zombi
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,620
- 1,344
Uongo anaambiwa mtu ambaye ni rahisi kudanganyika, sio Kila mtu anaambiwa uongo.Waongoo sana
Uongo anaambiwa mtu ambaye ni rahisi kudanganyika, sio Kila mtu anaambiwa uongo.Waongoo sana
Kuna watu ni maprofessinallyUongo anaambiwa mtu ambaye ni rahisi kudanganyika, sio Kila mtu anaambiwa uongo.
I miss you too,Honey...Mpenxii i miss u twende basi kwenu nikakamilishe undugu au tuanze kwetu
Kwa nini wasema hivyo....nimeamua kupoa tuu maana jf mademu hamnitakimzabzab ulikuwaga wa moto ulichanganyikiwa kisa kyum yaani ulivurugika ila sasa unaonyesha unapewa kisawa sawa
Hivi wewe kabila lako ?? Umri,urefu,I miss you too,Honey...
Ntakuja kwenu kwanza unitambulishe Then tumalizie kwetu Au Unasemaje Lovie
Wanaringa wamepima wasingle atakuwa wewe mwanaume umekuwa mweupeeeeKwa nini wasema hivyo....nimeamua kupoa tuu maana jf mademu hamnitaki
Bila kukusifia huwezi nipa MBUNYEAu anakwambia I wish ningekutana na wewe kabla sijaoa☺️... ila wanaume😂😂😂😂🙌
Mdigo,miaka middle aged Man,Hivi wewe kabila lako ?? Umri,urefu,
35 or 8Mdigo,miaka middle aged Man,
Urefu 5'10"
35 what?35 or 8
Duh aya
Nenda pm😃Hivi wewe kabila lako ?? Umri,urefu,
Swali la kujiuliza huyo mtu mpya unampataje,ndege wafananao huruka pamoja hii kanuni ni muhimu usisahau.Ukiona ndoa ya mtu inaharibika? Inapumua na gesi halafu mmoja anajifanya ndio eti anaonewa . Halafu anakuja kwako eti nataka tuwe marafiki baadae tuoane tupate watoto aisee kimbia futi elfu moja .
Atakuletea shida sana kabisa mpaka ujione umekuja kimakosa duniani. Kuwa tu na mtu wako mpya ambaye hajui ndoa nini .
Ni maoni yangu
Nani single mother mbona unakichaa wewe ndio unautindi wa akiliSwali la kujiuliza huyo mtu mpya unampataje,ndege wafananao huruka pamoja hii kanuni ni muhimu usisahau.
Maana watu wapya ndio hao vijana,sasa ni kijana gani ambaye hana mtoto wala Mke anaweza kuchukua single mother?? .
Yani asiache kuchukua kijana mwenzake ambaye hajaolewa na hana mtoto amended kwa single mother aliyezalishwa-hata jamii itamushangaa na may be huyo kijana awe na utindio wa Ubongo.
Sasa kwanini uikimbie na umepewa ila tumia kinga kwa afya yako na wanaokutegemeaTutakimbia ila mbususu hatuisusi, ikijileta tunaichapa shwashwa na kusepa na mia