Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,120
- 111,793
Mnapenda kuongopewaWaongoo sana
Mnapenda kuongopewaWaongoo sana
😂😂😂...hiyo imeendaNa ukijifanya mjanja kulewa sifa umeishaa😂
😂😂🙌😂😂😂...hiyo imeenda
Ndio unaweza ukajutia kuna mtu alienda kuharibu ndoa ya mwenzake akaolewa yeye akidhani watadumu yule baba baada yakuzaa naye tu akaenda kwa mwingine na ndipo kujulikana kwake kwa mke yule wapili kuwa anacheat ndio mkewe wa sasa akaondoka nakuachana naye. Na akamnyima kuwa na mahusiano na mtoto wake . So ukiona mtu anashida kwenye ndoa yake unamkimbiaUsipokua makini na hawa watu unaweza ujute maisha yako yote
Kwani wewe unayoKama huna bikira me sikujibu
ila maisha haya🤔🤔...Ndio unaweza ukajutia kuna mtu alienda kuharibu ndoa ya mwenzake akaolewa yeye akidhani watadumu yule baba baada yakuzaa naye tu akaenda kwa mwingine na ndipo kujulikana kwake kwa mke yule wapili kuwa anacheat ndio mkewe wa sasa akaondoka nakuachana naye. Na akamnyima kuwa na mahusiano na mtoto wake . So ukiona mtu anashida kwenye ndoa yake unamkimbia
Ukimkuta demu ana k safi halafu fupi unaenea na unaigusa mwisho vizuri hakikisha unapojua anapokaa permanent na uwe na namba za ndugu zake kama watatu, na uyajua majina yake yote na account zake za mitandao
Chumba Cha hivo kitamu sanaSasa huyu mimi ndo nimeweka ndani kabisa ili nimfaidi vizuri
Na kweliMwenye mathikio na athikie......tusije laumina baadae
Eh kama mwenyekiti wa kamatiDada yuniki eee asante kwa ushuhuda
Ukiambiwa niko pale kwajili ya watoto kimbia tena usigeuke nyuma😃😃
Kwani hili mnawaambia Ke wenzenu au Me?Huyo anakuwa mwongo kabisa
Tunapiga story tu😃😃Kwani hili mnawaambia Ke wenzenu au Me?
Kumbe hayanihusu✋Tunapiga story tu😃😃
Kama umeelewa vizuri haina shida😃😃Kumbe hayanihusu✋
SawaKama umeelewa vizuri haina shida😃😃