Mc barida
Member
- Aug 25, 2015
- 27
- 3
Mdg ako kachaguliwa coz gn??Leo nilikwenda Muhas kumskilizia mdogo wangu kachaguliwa hapo ndiyo wamenipa huo muongozo.
Namba ya principal Korogwe TTC 0754973720 mpigie umuulizeMwenye join instruction ya korogwe tc naomba
Pharmaceutical SciencesMdg ako kachaguliwa coz gn??
Zikitoka za Chuo chchte tujuulishaneNdugu zangu kuweni wapole vyuo vitawasiliana nanyi kuwapa taarifa juu ya kuchaguliwa kwenu.Zoezi hilo litafanyika mwezi wa kumi hiyo habari ya nacte kuwaambia masomo yanaanza tarehe 25/9/2017 ni propaganda tu.
Wanasema kuna maelekezo yamechelewa kutoka moe,,so be patientMwenye join instruction ya korogwe tc naomba
Ww umechaguliwa Chuo gnMbona vyuo vingi vimeanza jana
Na korogwe ttc ikitoka post pls
Na korogwe ttc ikitoka post pls
Hii join imekaaa kimadili madili tuu sasa hio laki yanini?
taaarifa hiii kakupa nani?Wanasema kuna maelekezo yamechelewa kutoka moe,,so be patient
You can trust or ignore... But subra is necessarytaaarifa hiii kakupa nani?