sawa sawa mkuu,......hata kama yataudhi_sio,.kuyasema ya moyoni lazima
Mimi nitawauliza akina PAW kama kutema sera hadharani inaruhusiwa, maana kukumdogo sikuelewi kabisa. Preta kanyaga twende,Mwenzenu naham ya kumuona msichana mmoja wa humu ndani anaitwa pretta. Huyu dada anaonekana ni mchesi na mzuri pia anafaa kuwa wife.
hapo sasa!!!!!!Una uhakika ni mwanamke?
hapo sasa!!!!!!
kaka kutishana tena humu! acha hizoYou don't have to crack your head! She's my wife and we've known each other since then. Huyu dogo kazinguliwa na picha (avatar) na ninamshauri ajipange upya maana kama sio jela, basi kifo kinamwita!?