Hivi kwa mfano mimi hapa nitakusaidiaje??? si unge m-PM? huoni unajaza tu saver kwa thread ya kichovu kama hii? Kuna uwezekano kabisa ungewasiliana naye angekupa appointment muonane week end hii.Mwenzenu naham ya kumuona msichana mmoja wa humu ndani anaitwa pretta. Huyu dada anaonekana ni mchesi na mzuri pia anafaa kuwa wife.
haya sasa Preta unaitwa huku,..ila bwanaake ni mwanamasumbwi maarufu sana hapa mjini...sijui kama umejiandaaandaaje kwa mpambano mkuuMwenzenu naham ya kumuona msichana mmoja wa humu ndani anaitwa pretta. Huyu dada anaonekana ni mchesi na mzuri pia anafaa kuwa wife.
feis buku unafaa kuwa wife!.....ahahahhaaaaaaaaaaaaaandipo akilizetu zilipo!!!
preta acha kumbania mwenzio ningekuwa mimi???????????mmmh....iko kazi
preta acha kumbania mwenzio ningekuwa mimi???????????