incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,229
- 3,525
Nimekua mfuatiliaji mzuri wa makala kadhaa za umafia, utemi na ugaidi, Kuhusu binadam waliochafukwa na roho, Japo kwa kiasi nilikuja kugundua kuwa hakuna binadam anaezaliwa akiwa mafia, Wengi wa mamafia na watu hatari ni Jamii ziliwatengeneza kutokana naEffect mbalimbali za kimalezi namakuzi, na Changamoto za kimahusiano ambavyo vililetelezea kusababisha Athari za Kisaikolojia na baadhi ya binadam kugeuka wanyama na kuwa hatari zaidi ya uhatari wowote,
Mara nyingi Killers au kwa lugha rahisi Wauaji ni watu ambao wanatekeleza matendo hayo kwa kufurahia, Kuna Muuwaji mmoja Katika Historia niliwahi kusoma maisha yake aliitwa ROBERT SCORT, Raia wa Collombia Unaambiwa Jamaa alikuwa anafurahia kuuwa kuliko chakula, yaani siku ambayo aliifurahia maishan mwake ni siku ambayo alipata kuuwa wanawake wengi, Mwamba aliuwa hadi alipokuja kukamatwa na FBI lakini alikuwa ashatekeleza mauaji zaidi ya wanawake 1000,
Pia juzi juzi tumepata kisa cha Dada mmoja kigori wa tik tok nchini Kenya alivyokutana na The killer huko dating site na kisa jamaa baada ya mizagamuano kamaliza kampiga dem visu nakumuua hapo inasemekana jamaa huwa anatekeleza mauaji muda mwingine endapo victim wake ameshindwa kumlipa kiwango cha pesa anachokuwa anakitaka.
Kuna hili kundi la Ku kulux clan huwa nawaona pia wanatajwa kama kikundi kilichokuwa cha watemi wauwaji na mafia ambao walijikita katika Itikadi za kiimani kama kuna mdau yeyote mwenye Documentary ya hawa mafia atusimulie kidogo kuhusu hawa jamaa.
Mara nyingi Killers au kwa lugha rahisi Wauaji ni watu ambao wanatekeleza matendo hayo kwa kufurahia, Kuna Muuwaji mmoja Katika Historia niliwahi kusoma maisha yake aliitwa ROBERT SCORT, Raia wa Collombia Unaambiwa Jamaa alikuwa anafurahia kuuwa kuliko chakula, yaani siku ambayo aliifurahia maishan mwake ni siku ambayo alipata kuuwa wanawake wengi, Mwamba aliuwa hadi alipokuja kukamatwa na FBI lakini alikuwa ashatekeleza mauaji zaidi ya wanawake 1000,
Pia juzi juzi tumepata kisa cha Dada mmoja kigori wa tik tok nchini Kenya alivyokutana na The killer huko dating site na kisa jamaa baada ya mizagamuano kamaliza kampiga dem visu nakumuua hapo inasemekana jamaa huwa anatekeleza mauaji muda mwingine endapo victim wake ameshindwa kumlipa kiwango cha pesa anachokuwa anakitaka.
Kuna hili kundi la Ku kulux clan huwa nawaona pia wanatajwa kama kikundi kilichokuwa cha watemi wauwaji na mafia ambao walijikita katika Itikadi za kiimani kama kuna mdau yeyote mwenye Documentary ya hawa mafia atusimulie kidogo kuhusu hawa jamaa.