Hii ni Familia ya Kanali Hans Pope

Huyu Mzee Hanspope mama yake ni Mhehe, watoto wake wawili ninaowafahamu mmoja Harry Hanspope ambaye ni mdogo wake Zakaria Hanspope wote walikuwa askari wa TPDF Harry akiwa ni rubani wa ndege za mzigo za jeshi wakati Zakaria Hanspope akiwa muongozaji wa rada za jeshi wote wawili wakati wakikamatwa kwa tuhuma za uhaini walikuwa na cheo cha Captain.
 
Hii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.

Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.

Ni mtihani mkubwa sana familia ya Hans Pope inaupitiaView attachment 1933260
Huyu je?
Screenshot_20210915-083615_Chrome.jpg
 
Mzee wake alikuwa mkuu wa jeshi la polisi mkoa wa kagera enzi za vita vya KAGERA.
Askari wa IDDI AMIN nasikia walipita nae.
Mwenye undani wa historia ya baba ake atueleze kidogo
Mzee kwelialikuwa RPC Mkoa wa Ziwa Magharibi Idd Amin alipovamia kwa mara ya kwanza kabla ya Tangazo la Vita walikwenda Polisi alipokuwa akiangalia kwa kutumia darubini majeshi ya Idd Amini yalimuona yakasema Nyerere amelata mamluki kumsaidia kwakuwa alikuwa ni chotara wa Kijerumani akauawa na mwili wake ukachukuliwa na Majeshi ya Nduli Amini baada ya vita Mwili ulirudishwa akazikwa Tanzania.
 
Hii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.

Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.

Ni mtihaniH
Hii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.

Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.

Ni mtihani mkubwa sana familia ya Hans Pope inaupitiaView attachment 1933260
 
Naomba kufahamishwa

Kama ukichanja bado unaweza kuumwa na kufa faida ya chanjo ni nini sasa
Chanjo inapunguza kasi kuamubkizwa na ukipata uviko una nafasi kubwa ya kupona. Nashangaa na wanaotaka kusema kama utaupata ugonjwa na kufa, hakuna faida ya kuchanja. Kuna magonjwa mengi tunatachanja au tunapata dawa lakini hatimaye dawa huzidiwa na ugonjwa na mgonjwa kufa. Je, kwa sababu mgonjwa aliyekuwa akitumia dawa amekufa, tulio wazima tukiugua huo ugonjwa tusitumie kwa misingi kuwa kuna walioiyumia wamekufa? Pamoja na wachache waliyochanjwa kufa kwa corona, kuna wengi wameepushwa mauti na chanjo.
 
Hii ni familia ya Hans Pope kushoto ni kaka yake Eddy ambaye naye yuko mahututi Aga Khan anapumulia mashine na uwezo wa kupumua hana.

Mdogo wake kwenye picha kulia naye amelazwa Iringa walau hali yake siyo mbaya sana.

Ni mtihani mkubwa sana familia ya Hans Pope inaupitiaView attachment 1933260
Sidhani kama Zacharia alikuwa Kanali. Nadhani alikuwa Luteni au Captain.
Siku moja nilikuwa maeneo ya Motel Agip naongea na jamaa mmoja.
Akapita Eddy. Nikamtazama anavyoendelea na safari yake and I was thinking aloud yule mtu in familiar? Yule jamaa niliyekuwa naongea naye akasema Eddy umemsahau?Tulikuwa tunasoma naye Mkwawa.
On the very next day Eddy akafika nyumbani kwangu kuniona. Alikuwa anataka niandike barua aipeleke kwa Authorities ili Zacharia atolewe Ukonga. Nikaiandika hiyo barua. Those were the days. I was powerful. Nilikuwa naweza kuandika barua na kumtoa mtu jela.
 
Sidhani kama Zacharia alikuwa Kanali. Nadhani alikuwa Luteni au Captain.
Siku moja nilikuwa maeneo ya Motel Agip naongea na jamaa mmoja.
Akapita Eddy. Nikamtazama anavyoendelea na safari yake and I was thinking aloud yule mtu in familiar? Yule jamaa niliyekuwa naongea naye akasema Eddy umemsahau?Tulikuwa tunasoma naye Mkwawa.
On the very next day Eddy akafika nyumbani kwangu kuniona. Alikuwa anataka niandike barua aipeleke kwa Authorities ili Zacharia atolewe Ukonga. Nikaiandika hiyo barua. Those were the days. I was powerful. Nilikuwa naweza kuandika barua na kumtoa mtu jela.
Marehemu Zacharia Hans Pope mpakaanashitakiwa kwa kesi ya uhaini alitokaJeshini akiwa na cheo cha Captain na hata Major hakupata licha ya huo u colonel
 
Sidhani kama Zacharia alikuwa Kanali. Nadhani alikuwa Luteni au Captain.
Siku moja nilikuwa maeneo ya Motel Agip naongea na jamaa mmoja.
Akapita Eddy. Nikamtazama anavyoendelea na safari yake and I was thinking aloud yule mtu in familiar? Yule jamaa niliyekuwa naongea naye akasema Eddy umemsahau?Tulikuwa tunasoma naye Mkwawa.
On the very next day Eddy akafika nyumbani kwangu kuniona. Alikuwa anataka niandike barua aipeleke kwa Authorities ili Zacharia atolewe Ukonga. Nikaiandika hiyo barua. Those were the days. I was powerful. Nilikuwa naweza kuandika barua na kumtoa mtu jela.
Hakuna kitu kama hicho, wahaini wote walitolewa kwa msamaha wa Rais mstaafu Alli Hassan Mwinyi mwaka 1995. Acha kujikweza ndiyo maana hujui hata cheo cha mtu unayejidai kuwa ulimtoa. Niulize mimi ambaye tulikuwa naye kikosi kimoja,alifungwa akiwa Captain na kutoka jela akiwa Captain. Hakuna cha kusema eti nadhani alikuwa Captain Luten. Sisi ndiyo tuliosoma Mkwawa enzi hizo ikiitwa St. George's and St. Michael's School. Umtoe wewe mtu aliyekuwa amefungwa maisha, ulikuwa na ubavu gani!Pengine wakati huo wewe ulikuwa Corporal au Sergeant tu.
 
Siyo kabla ya tangazo la vita. Ni kwamba Hanspipe yeye aliuwawa mwaka 1972 wakati majeshi ya Idd Amini yalipovamia mara ya kwanza wakati vita ilukuwa mwaka 1978-1979, yaani miaka sita baadaye baada ya Hanspope kuuawa akiwa RPC mkoa wa Ziwa Magharibi ( Mkoa wa Kagera sasa). Na jina la mkoa wa Kagera lilikuja kutokana na ile vita ya Kagera.
Mzee kwelialikuwa RPC Mkoa wa Ziwa Magharibi Idd Amin alipovamia kwa mara ya kwanza kabla ya Tangazo la Vita walikwenda Polisi alipokuwa akiangalia kwa kutumia darubini majeshi ya Idd Amini yalimuona yakasema Nyerere amelata mamluki kumsaidia kwakuwa alikuwa ni chotara wa Kijerumani akauawa na mwili wake ukachukuliwa na Majeshi ya Nduli Amini baada ya vita Mwili ulirudishwa akazikwa Tanzania.
 
Upo sahihi. Harry Hanspope alifariki akiwa Canada. Alipotoka jela ( yeye alikaa jela miaka mitatu na nusu tu) aliondoka Tz na kuhamia Canada ambako alikuja kufariki kwa cancer.
Huyu Mzee Hanspope mama yake ni Mhehe, watoto wake wawili ninaowafahamu mmoja Harry Hanspope ambaye ni mdogo wake Zakaria Hanspope wote walikuwa askari wa TPDF Harry akiwa ni rubani wa ndege za mzigo za jeshi wakati Zakaria Hanspope akiwa muongozaji wa rada za jeshi wote wawili wakati wakikamatwa kwa tuhuma za uhaini walikuwa na cheo cha Captain.
 
E
Hakuna kitu kama hicho, wahaini wote walitolewa kwa msamaha wa Rais mstaafu Alli Hassan Mwinyi mwaka 1995. Acha kujikweza ndiyo maana hujui hata cheo cha mtu unayejidai kuwa ulimtoa. Niulize mimi ambaye tulikuwa naye kikosi kimoja,alifungwa akiwa Captain na kutoka jela akiwa Captain. Hakuna cha kusema eti nadhani alikuwa Captain Luten. Sisi ndiyo tuliosoma Mkwawa enzi hizo ikiitwa St. George's and St. Michael's School. Umtoe wewe mtu aliyekuwa amefungwa maisha, ulikuwa na ubavu gani!Pengine wakati huo wewe ulikuwa Corporal au Sergeant tu.
Nimeshangaa eti alimuona Eddy akawa anajiuliza he looks familiar ghafla eti kesho akaja nyumbani kwake kumuomba amuandikie barua, hii ni chai ya rangi mchana wa saa sita.

Mtu ambaye anakuja kwako na mnafahamiana eti unajiuliza he looks familiar???

Halafu mtu amefungwa kwa uhaini unamuandikia nani amtoe jela yani yeye anaandika Kama nani? Maana hapo wa kumtoa ni president pekee maana treasonous acts is punishable kwa life sentence.

Yani anajikuta nani sasa 😂
 
Yaani watu humu wanatafuta sifa na kujaribu kudanganya kundi la vijana ambao ni wengi humu na ambao wakati huo walikuwa aidha hawajazaliwa au walikuwa wananyonya ingali hali tuliokuwepo tunafanya kazi tena huko huko jeshini wakati huo tupo tunawachora tu. Kwa kifupi kundi la Hanspope, Metusela, Vitalis Mapunda, Ditram Mbogolo, Maganga, Macghee, na wengine walikuwa wamepigwa kifungo cha maisha hadi Mzee Mwinyi akiwa katika mwaka wake wa mwisho alipokuja kuwapa msamaha tangu wafungwe 1983. Huyu jamaa nadhani kajiona maji taka na amekimbia humu ndani au anasoma reactions zetu na kubana kimya. Si ajabu alikuwa mpishi tu jeshini, kataka aje ajitutumue hapa, hakujua atakumbana na sisi tunaojua mambo kushinda yeye! Ingekuwa kila mtu anaiandikia mamlaka juu ya kumtoa mtu gerezani basi wafungwa webgi sana wangekuwa wametolewa na hapo hapo mahakimu na majaji hukumu zao zingekuwa hazina nguvu wala maana yoyote! Thanks Mkuu for you thoughtful observation.
E

Nimeshangaa eti alimuona Eddy akawa anajiuliza he looks familiar ghafla eti kesho akaja nyumbani kwake kumuomba amuandikie barua, hii ni chai ya rangi mchana wa saa sita.

Mtu ambaye anakuja kwako na mnafahamiana eti unajiuliza he looks familiar???

Halafu mtu amefungwa kwa uhaini unamuandikia nani amtoe jela yani yeye anaandika Kama nani? Maana hapo wa kumtoa ni president pekee maana treasonous acts is punishable kwa life sentence.

Yani anajikuta nani sasa
 
Back
Top Bottom