Hii ni dawa ya nini?

Nimeikuta kwenye bag la mtu wangu katoka safarini.
Ni dawa ya nin?

Inatumika kutibu matatizo mbali mbali ya mfumo wa uzazi hasa kutosimamisha vizuri, tezi dume iliyoongezeka na mengineyo mengi .

Ila samahani lakini mkuu kwa kuuliza ili unitoe kwenye hii sintofahamu mbona vidole vya kiume hivyo kwenye picha?
 
Inatumika kutibu matatizo mbali mbali ya mfumo wa uzazi hasa kutosimamisha vizuri, tezi dume iliyoongezeka na mengineyo mengi .

Ila samahani lakini mkuu kwa kuuliza ili unitoe kwenye hii sintofahamu mbona vidole vya kiume hivyo kwenye picha?
Katembelewa na mpenzi wake mwanaume.
 
Unafikiri umeungwa kwenye gri.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…