Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,489
- 6,444
Sema kama huyo mwenza wake anatumia hizo kwa usahihi ni ngumu kumuambukiza so atulie zake tu😅😅Jamaa tayari ameshapandisha sukari... Muda mwingine mtumie lugha rafiki. Mtaua watu
Sema kama huyo mwenza wake anatumia hizo kwa usahihi ni ngumu kumuambukiza so atulie zake tu😅😅Jamaa tayari ameshapandisha sukari... Muda mwingine mtumie lugha rafiki. Mtaua watu
Mwanamke wako anakwambia ameungua na anatumia dawa zake kwa usahihi. Wewe utatulia?😁😁Sema kama huyo mwenza wake anatumia hizo kwa usahihi ni ngumu kumuambukiza so atulie zake tu😅😅