Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
Ngoja tu ajulikane kama waziri lakini kiuhalisia hata ukatibu kata ungemshindaAkijibu swali bungeni ameipongeza Serengeti boys kwa ushindi wakati timu ya vijana iliyoshinda mechi juzi ni ya vijana ya Ngorongoro Heroes kwa kuifunga DRC.
Kama Naibu waziri hajui hata timu shiriki ni ipi je uwezo wa kusimamia timu zetu kuleta ushindi itawezekana?
Kweli hawa mawaziri wetu hawapo makini kweli kweli. Na sio kasema kwa bahati mbaya ni kuwa kaitaja Serengeti boys zaidi ya mara tatu.