DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,485
- 99,208
Uko sahii, biashara ya fully furnished ni biashara kichaa kwa nchi zetu za Dunia ya tatuUnapangisha nyumba fully furnished hapa bongo? Hayo mambo yanawezekana huko mbelez na kwa baadhi ya watu tu hapa mjini, otherwise mpe mtu jumba, atajua mwenyewe kama kulala chini au godoro ama kitanda kabisa. Ila jiandae kurekebisha vitasa kila baada ya miezi kadhaa.
Akili zetu sijui nani alizifanyia programming!
Sent using Jamii Forums mobile app