Hii ni aibu kubwa sana kwa Harmonize

Unapangisha nyumba fully furnished hapa bongo? Hayo mambo yanawezekana huko mbelez na kwa baadhi ya watu tu hapa mjini, otherwise mpe mtu jumba, atajua mwenyewe kama kulala chini au godoro ama kitanda kabisa. Ila jiandae kurekebisha vitasa kila baada ya miezi kadhaa.

Akili zetu sijui nani alizifanyia programming!
Uko sahii, biashara ya fully furnished ni biashara kichaa kwa nchi zetu za Dunia ya tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapangisha nyumba fully furnished hapa bongo? Hayo mambo yanawezekana huko mbelez na kwa baadhi ya watu tu hapa mjini, otherwise mpe mtu jumba, atajua mwenyewe kama kulala chini au godoro ama kitanda kabisa. Ila jiandae kurekebisha vitasa kila baada ya miezi kadhaa.

Akili zetu sijui nani alizifanyia programming!
Yaani sijui ila ndo tulishaamua na si rahisi kuondoa furniture na vitanda na vyombo kwenye nyumba. so sad.
 
Kweli bro hawa Watoto wa JF hawawezi Kuelewa Yule mzee anavyojiskia wao ni kuweka Ushabiki mbele bila kutumia Akili
Tumejifunza. Karibu Dodoma ila ujue hutapikiwa chakula mpaka utoe order. Utalala kwa raha zako ila hutapanga bali B and B basi.
 
Tweeter imeshakuharibu ww
Kivipi tena mkuu...
IMG_20210826_091150.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)



Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Kwa hiyo mwenye nyumba mpaka leo haja flash choo au? kweli mpangaji wako anaweza kuondoka katika nyumba yako bila kulipa stahiki zote mimi najuwa Tanzania umekodi nyumba au chumba unalipa in advance sijawahi kusikia mtu analipa baada ya kukaa unalipa kabla hujakaa kwa bahati siku hizi wamepunguza miezi 6 advance siku za nyuma ilikuwa mwaka. hii story haijakaa sawa na tuseme kuna ukweli alikwenda kumshitaki kwenye mamlaka husika? kwa ufupi kitu kikubwa kwa Tanzania yetu hakuna sehemu utakodi usilipe advance hakuna kitu nakaa nitakuja kulipa. Mimi na nyumba nimekodisha watu kila mwazo wa mwaka wanalipa kodi ya mwaka mzima hatusumbuani tena hili la leo ndio kwanza nasikia mtu anakaa hajalipa. Harmo naye mjinga kama na vielelezo vyote vya mkataba nawapeleka mahakamani hawa wote kwa kumchafua mtu mpe wakili vielelezo vyote mwambie utakacholipwa chukuwa mimi sitaki kitu, utaona shughuli.
 
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)



Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Nina hamu ya kukutooooo..... Kutoa out (🤣🤣🤣🤣 hahahah)
Ila Duniani mnateseka sana.

Bora si msikilize hata Dizasta vina,songa,p mawenge, Nacha,fid-Q, killer n.k
Mbona wapo wengi tu kazi kusikiliza eti nina hamu ya kutooo....
 
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)



Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Aisee!
 
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)



Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Kama ni kweli atakuwa anamakosa
ILA sijapenda ulivyo andika kwani umeandika KUMDHALILISHA na sio kumkumbusha tu kuwa yeye ni msanii hivyo ni kioo cha jamii
Kuhusu kuwa na Nyumba naamini atakuwa nazo ila kwa sasa anahitaji kuwa kwenye nyumba ya hadhi yake ambayo bado hajaimiliki, hivyo tusimuhukumu kwa hilo ni suala la muda tu!
 
Back
Top Bottom