Hii ni aibu kubwa sana kwa Harmonize

Yule mmakonde naye kavu sana, sasa mpaka KY Jerry jaacha ndani ameshindwa jutupa kwenye dustbin?
Naona hii ni mara ya pili unakomenti KY, alikuwa anaitumia kukufiria wewe. Wachagga hawakupelekei moto wa kutosha??
 
Kama kweli Harmonize kafanya huonujinga wa kitoto anastahili kulaumiwa, sio kumtetea mnazidi kumdumaza akili ajione star mchafu, ana mdomo ajitetee mwenyewe.
 
I have a better life than ya huyo harmo mayb alichonizid ni Ustar tu nothing else na Siwez kuwa na Wivu kwa ndezi Kama yeye bora niwe na Wivu na bill gate naweza kujfunza kitu kuliko huyo Kik Digger

Mbona wapoteza mda kumjibu huyu mtu hajielewi
 
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)



Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
We Kodi yako ya pango shilingi ngapi?wabongo kwa kupenda kufatilia mambo ya watu,
Kijana wa darasa la saba,kwa hapo alipofika kwa kipato chake,anastahili sifa,sio kupondwa,brand lazima ijengwe,ipambwe,hata kwa misifa,we unajua terms za yeye kupanga nyumba?na Hilo kimba walilolikuta halijaflashiwa chooni,umeahuaje ni la konde boy?Ulikuwepo?
Wapeni vijana ushauri,sio kuwaponda,
 
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)



Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Umeandika kimbea mbea alafu kumbe ni mwanaume aise...!!! Mbona unajizba sana mkuu? Acha kifatilia maisha ya wanaume wenzio mzee
 
I have a better life than ya huyo harmo mayb alichonizid ni Ustar tu nothing else na Siwez kuwa na Wivu kwa ndezi Kama yeye bora niwe na Wivu na bill gate naweza kujfunza kitu kuliko huyo Kik Digger
🤣🤣🤣 ni zaidi ya hallucination
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zaitakua na ukweli...

Mara nyingine ni dharau tu sii kwamba mtu pesa hana...
 
Aliwahi kusema aliuza nyumba zake mbili ili awalipe wasafi pesa ya kuvunja mkataba, nahisi ndo sababu mpaka leo yupo nyumba ya kupanga
 
Ukute huyu jamaa ana familia eti. Yaani ana mke na watoto wanaomtegemea . Daaa!
IMG_20210917_182516.jpg
 
Umeandika kimbea mbea alafu kumbe ni mwanaume aise...!!! Mbona unajizba sana mkuu? Acha kifatilia maisha ya wanaume wenzio mzee
Natangaza rasmi,
Mtoa mada sio mwenzetu Tena.

Tayar ameshatutoka.

Bwana ametoa, bwana ametwaa
JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.

Aaamen
IMG_20210916_164107.jpg
 
Na mimi nimeona nimesikitika sana ila ukiwa mwenye nyumba ndo unaweza kuelewa kwanini watu tumeamua nyumba zibaki magofu bila watu. Kadhia niliyoipata kupangisha nyumba Dodoma ilinifanya heri nibaki maskini jeuri kuliko kuwa na wapangaji.

Mpangaji wakati anatoka anakuibia vitanda, magodoro na bado anakutukana mpaka matusi ya nguoni. Heri nibaki na nyumba bila mpangaji kuliko mateso kama ya huyo wa Harmoniser.
Unapangisha nyumba fully furnished hapa bongo? Hayo mambo yanawezekana huko mbelez na kwa baadhi ya watu tu hapa mjini, otherwise mpe mtu jumba, atajua mwenyewe kama kulala chini au godoro ama kitanda kabisa. Ila jiandae kurekebisha vitasa kila baada ya miezi kadhaa.

Akili zetu sijui nani alizifanyia programming!
 
Back
Top Bottom