[emoji23][emoji23][emoji23]amuulize wkt anafanyajee??Aisee tena bora angekulwa na wa mbali hata usiye mjua,rafiki yako mwe!!! Amekukosea sana,.me nakushauri fanya hivi; kabla hamjaitana kwenye vikao na familia muulize kwanza wakati unamgegeda,.mkaze kwelikweli halafu ndio umuulize hayo mambo katikati ya mgegedo hakikisha kila unavyomuuliza na speed unaiongeza na usiutoe nje mgegedo usiruhusu kabisaa hewa kupita,.
Shenztaip!!!!
Mamushka hujaona au[emoji23][emoji23][emoji23]em hukoo...wakati ana mgegedua ndio,.[emoji23][emoji23][emoji23]amuulize wkt anafanyajee??
Naunga mkono hoja.. Sis wenyew tunavumilia mengi mnooo lkn ndoa haivunjikihili jibu ninaliafiki, naomba utulize kichwa, ongea naye, na usiishie tu kuongea naye bali umwite na huyo mhusika myamalize, haina haja kumwacha kwani wanawake karibu wote wanafanana tu
Hongera kwa roho ya kusamehe ..naamin sahv maisha yenu safi na amejirekebishaKwanza kabisa napingana na hao wanaokataa kuchunguza simu au mawasiliano ya wenza wao, huyo ni mkeo /mumeo wa ndoa,hivyo kufuatilia chochote kile kwake ni 'wajibu'... 'sio wawili tena bali ni mwili mmoja',maana athari zozote zikitokea, ni shared.
Mimi ilikuwa ni msg, nadhani zilisahaulika kufutwa,nikachukulia poa tu kwa ule ujinga eti tusifuatilie simu zitatuvunjia ndoa. Baadye nikaamua kufuatilia karibu mawasiliano ya ile namba, nililenga kujua muda anaopigiwa na how long wanazungumza.
Nikaja kuthibitisha pasipo shaka kuwa waliwahi kuwa katika wahusiano pindi nikiwa masomoni ila wakaja tengana miezi 5 kabla ya mie kurejea masomoni. Uchunguzi huu ulichukua takribani miezi 3 tangu kustukia mawasiliano hayo.
Nilipothibitisha, nikamwomba MUNGU anipe subra, maana ni 'NGUMU KUMESA'. Cha kwanza nikawa tayari kumsamehe, ila nikaweka nadhili kwa muumba wake kuwa, nitamuhoji mara 3 kwa vipindi ni siku tofauti, akikana zote mara 3,ndio ungekuwa mwisho.
Nikaandaa Questionnaire zangu kwa ustadi wa hali ya juu sana na umakini mkubwa kuepuka kuhisi kuwa kuna kitu akistukie, ila swali la mwisho nakumbuka lilimbabaisha na 'akapoteana'.
Ile ya mwisho alikili na akaeleza yote tangu siku ya kwanza hadi walipoamua ku break up, na sababu.
Nilimwambia ampigie jamaa simu na amuite aje nyumbani kwangu, jamaa akazingua, nikampigia nikwambie ndani ya masaa 4 aje kwangu, lasivyo......!! Jamaa alikubali kuja.
Yeye alilia na kueleza kila kitu... Aliomba msamaha nikawasamehe wote. Japo mgoni wangu aliogopa sana baada ya kutoka kwangu alienda kuomba likizo na baadaye uhamisho, nasikia alirudi mkoani kwao maana roho ya hatia ilikuwa ikimwandama. Mke nae kabadilika ajabu, hakutarajia kilichotokea.
Nadhani ndugu yangu huenda ukapata cha kujifunza hapo, japo sikushauri ufuate ufuate njia niliyoifuata, maana kila mtu ni wa pekee. Kuacha nalo wazo zuri, tatizo utayemleta naye hauna uhakika naye. Huo ndio uzoefu nilioupitia.
Mamushka hvi anaweza kua na hamu ya kugegeda kweli??? Na stress hizoMamushka hujaona au[emoji23][emoji23][emoji23]em hukoo...wakati ana mgegedua ndio,.
Lazima akubali kukinyanyua kichwa kidogo ili apone,.kuna stress zingine inabidi uzigegede na zenyewe,.ah!!!Mamushka hvi anaweza kua na hamu ya kugegeda kweli??? Na stress hizo
Mmmh sidhan aisee tena akifikiria mwenzie alipita mule atakua anawaza mpk kuirudia mpk aisafishe na jiki[emoji3]Lazima akubali kukinyanyua kichwa kidogo ili apone,.kuna stress zingine inabidi uzigegede na zenyewe,.ah!!!
Kama alimuoa bikira labda,.Mmmh sidhan aisee tena akifikiria mwenzie alipita mule atakua anawaza mpk kuirudia mpk aisafishe na jiki[emoji3]
Natoa utabiri, u jobless au single maza anayeishi wa wazazi wake maana wanawake wa hivi kwakushinda kwenye mitandao hamjambo..!Kama alimuoa bikira labda,.
Sijakuelewa kabisaaaNatoa utabiri, u jobless au single maza anayeishi wa wazazi wake maana wanawake wa hivi kwakushinda kwenye mitandao hamjambo..!
Badae eti unatafuta mume aliye serious[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemaliza yote aiseeKiongozi kuna mambo ya kuvumilia na kuna ya kutoyavumilia.
Muonyeshe mkeo ulichokikuta ktk simu yake, wajulishe wazazi wake na wako (kujivua lawama), muonyeshe/mtumie jamaa hiyo kitu na umshukuru kwa kukuvurugia familia yako usimpe kitisho chochote, fanya juu chini kama jamaa ana wazazi wajue.(kisaikolojia itawavuruga familia nzima)
Tafutia wanao shule boarding au njia nzuri ya kuishi nao kisha bila matusi, kipigo au ugomvi wa aina yoyote mwambie mwanamke akahangaikie maisha yake anapoona panamfaa.
Utateseka kwa muda ila kumbuka kila jambo lina mwisho.
Huyu mwanamke anaweza kukuletea maradhi ndani mkawaacha watoto yatima kisa umalaya tu wa mtu mmoja. Bora nusu shari kuliko shari kamili. Elekeza nguvu zako kutafuta maisha ya wanao wanawake wana ushetani ndani yao unaweza kukugharimu pasipo sababu.