How typical
Utakiwi uishangilie timu kwa sababu inawachezaji wazuri, ina shinda mara kwa mara, au ina squad inayokuvutia kutokana na international re-known stars: unashabikia timu kwa sababu ya unconditional support and love.
Ndio maana waafrika wao timu zao R.Madrid, Barcelona, Man Utd, Bayern, Arsenal, Chelsea and all those regular contenders of Champions league. Ukija kikapu Miami, Spurs, Lakers support is fading, NY no one cares anymore.
Yaani waafrika wao wanachopenda ni mambo mazuri mazuri tu na makubwa makubwa, nani mwenyeshida ya kutaka kuona jitihada za underdogs as in Everton na tight budget or Pacers.
Acheni kupenda vya kunyonga......jaribuni na kuchinja, na hivi ndio kila kitu kinavyofanyika ndani ya afrika watu kupenda vitu rahisi rahisi ambavyo avisumbui kichwa, kupachikwa kwenye makazi, kufilisi faida za biashara no time kukuza maendeleo etc, badilikine.