Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
- Thread starter
- #81
tuangaliie kwenye picha hapo juu tulivyo sexxxyyy
mbona umependelea ladies tu
tuangaliie kwenye picha hapo juu tulivyo sexxxyyy
mbona umependelea ladies tu
labda useme vibamiaMbilikimo?
jilipue wewe si alshabibi..Habari zenu wana jamiiforum
wa MMU
ningependa kujua sexy body ni ipi?
sababu nimeambiwa sina sexy body.
Habari zenu wana jamiiforum
wa MMU
ningependa kujua sexy body ni ipi?
sababu nimeambiwa sina sexy body.
Ahahaa.. Mkuu umenikumbusha mambo ya transport..! fanya na SWOT analysis bas
Ha ha ha ! Jf raha saaaana!
Alshabab kama huna hela kapige chuma ila kama uwezo unakuruhusu anza kumhonga huyo dem utasikia within a week anakwambia "baby una body zuri"
huna bakhishishi
jilipue wewe si alshabibi..
Hebu naomba ufafanuzi kidogo hapa, madame. Mwili wa ngono ukoje ukoje?. Hebu fafanua kiduchu basiMwili wa ngono!
Ndo tukujibuje ss wakati neno lenyewe linajieleza!!!!!!! Au kingereza hujui tukutafasirie. Hv ww si ndiyo yule mshikaji wangu uliyekuwa unamkimbia mwalimu wa kingereza haya ss utavuna uvivu wako wa kujifunza.Habari zenu wana jamiiforum
wa MMU
ningependa kujua sexy body ni ipi?
sababu nimeambiwa sina sexy body.