Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,553
Maisha tu ndugu hiyo ni hali tu hakuna anayechagua kuwa hivoWanawake WANA ROHO NGUMU SN,,,,chuma kama hicho NACHO PIA KINAMPAKATA MTU,,.yaani kina HONEY WAKE
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kukuta urijali wake ni zaidi ya wengi mkuu!Wanawake WANA ROHO NGUMU SN,,,,chuma kama hicho NACHO PIA KINAMPAKATA MTU,,.yaani kina HONEY WAKE
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁Kuna wakati tunawalaumu watu kutudharau kwa mambo kama haya ya kijinga kijinga, inamaana hiyo miguu ndio uafrika halisi?
Nikweli waliozaliwa mjini ningumu kuielewa hiiAisee ni hatari ila kabla ya utamaduni wa kuvaa viatu hasa maeneo ya vijijini hii ndio ilikuwa hali halisi ila sio kwa sasa. Mliozaliwa mjini hamwezi kuyajua haya
Sent using Jamii Forums mobile app
😱😱 sawa Mzungu/Hindi/chinaBora mie sio mwafrika halisi aise
Sent from my iPhone using JamiiForums
Aaah mkuu Kila mtu anawakufanana nayeWanawake WANA ROHO NGUMU SN,,,,chuma kama hicho NACHO PIA KINAMPAKATA MTU,,.yaani kina HONEY WAKE
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sn MKUU,,,, hawa Dada zetu nawasifuAaah mkuu Kila mtu anawakufanana naye
Wanaweza ng'oa hata hawa hawa warembo wala burger,ilimradi anafuko la hela ya kahawa or korosho
hizi avatar zina mengi