Hii ndiyo Sheria ya Jamhuri inayompa RC nguvu ya kumuita mwananchi yeyote anayeishi mkoa wake!!

Apr 27, 2006
26,588
10,375
16708534_1550164311679836_7861818889401795577_n.jpg
 
Angeagiza Polisi.

Alafu ku-arrest ni sawa na kumtaka mtu afike Polisi?

Amepewa mamlaka ya kusababisha mtu awe arrested lakini sioni mamlaka ya kumtaka mtu afikie Polisi.

Kwa mujibu wa kifungu cha (2),lazima ajiridhishe kuwa anaetakiwa kukamatwa anaweza kusababisha uvunjifu wa sheria(kuvuruga amani) na kwamba akamatwe iwapo njia pekee ya kumzui mtu huyo kuvunja amani au kufanya kosa lingine ni kwa mtu huyo kuwekwa Mahabasu.

Sasa hata kama Makonda akiitwa Mahakamani na kutakiwa kuthibitisha mbele ya Mahakama kuwa Mbowe asingekamtwa angesababisha uvunjifu wa sheria, Makonda angethibitisha vipi hapo?
 
Ana mamlaka ya Kuamuru mtu aliyevunja sheria akamatwe, sasa sijui aliowaita ni wamevunja sheria tayari?

Kifungu kinasema mkuu wa mkoa ana mamlaka ya kuamuru polisi wamkamate mtu aliyevunja sheria

Na pia kama anahisi mtu huyo ana makosa basi aamuru polisi washughulikie na sio yeye kwenda kuamuru watu waende polisi kupitia vyombo vya habari...
 
Ngoja nikufundishe kitu bwana lemutuzzz. Hicho kifungu kinahusika kwa waliovunja sheria zilizowekwa kwa mujibu wa katiba na kwa vyovyote vile pawepo na ushahidi wa wazi. Sasa wewe kuamka asubuhi na kusema "Bonge wa Kinondoni kesho uende polisi kwa kuhisiwa kujihusisha na madawa" vinaendana na ulicholeta hapo juu?
 
Ngoja nikufundishe kitu bwana lemutuzzz. Hicho kifungu kinahusika kwa waliovunja sheria zilizowekwa kwa mujibu wa katiba na kwa vyovyote vile pawepo na ushahidi wa wazi. Sasa wewe kuamka asubuhi na kusema "Bonge wa Kinondoni kesho uende polisi kwa kuhisiwa kujihusisha na madawa" vinaendana na ulicholeta hapo juu?

- unajuaje kwamba RC hana uhakika na anachokuitia?

le Mutuz
 
Back
Top Bottom