Kijana kijana JF-Expert Member Mar 11, 2018 2,546 2,616 Oct 22, 2018 #1 Eti mtu anakuambia kuna pembe tatu ambayo hapo hapo ni duara? Kwani hazipo pembe tatu duara au ni kujitoa ufahamu tuu wakuu. Ipo pembe tatu duara. Kama ambavyo naamini yupo mtu ambae ni mfupi kisha hapo hapo akawa mrefu. Mfano wema sepetu ni mrefu kisha hapo hapo ni mfupi. Kwa maana WEMA sepetu akisimama na steve nyerere atakuwa ni mrefu,wakati huo akisimama na hasheem thabiti atakuwa ni mfupi kwa mwili wake huo huo. Pembe tatu inaweza kuonekana kama inavoonekana katika picha hapo chini.
Eti mtu anakuambia kuna pembe tatu ambayo hapo hapo ni duara? Kwani hazipo pembe tatu duara au ni kujitoa ufahamu tuu wakuu. Ipo pembe tatu duara. Kama ambavyo naamini yupo mtu ambae ni mfupi kisha hapo hapo akawa mrefu. Mfano wema sepetu ni mrefu kisha hapo hapo ni mfupi. Kwa maana WEMA sepetu akisimama na steve nyerere atakuwa ni mrefu,wakati huo akisimama na hasheem thabiti atakuwa ni mfupi kwa mwili wake huo huo. Pembe tatu inaweza kuonekana kama inavoonekana katika picha hapo chini.
S V Surovikin JF-Expert Member Aug 8, 2015 13,625 32,757 Oct 22, 2018 #3 Hata sijakuelewa,,,, au unamaanisha nimuite Kiranga ?
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Apr 13, 2017 44,604 188,819 Oct 22, 2018 #7 Mkuu Naona Umechanganya Ugali Na Ubwabwa
KIOO JF-Expert Member Mar 3, 2013 6,154 5,680 Oct 22, 2018 #8 Hata mbunye ni pembe tatu hapohapo ni duara. Ahsante.
doup JF-Expert Member Feb 26, 2009 2,349 2,152 Oct 22, 2018 #9 Hata mimi nimeona giza tu, japo najua pembe tatu sawa na pembe tatu perpendicular (90 nyuzi)
thesym JF-Expert Member Aug 15, 2012 3,797 4,688 Oct 22, 2018 #10 Kuwa serious mzee kwani hapo si kuna geometrical figures mbili hata kama ukiambiwa kutafuta eneo lenye kivuli au lote itakupasa kutumia kanuni za triangle halafu na la circle.
Kuwa serious mzee kwani hapo si kuna geometrical figures mbili hata kama ukiambiwa kutafuta eneo lenye kivuli au lote itakupasa kutumia kanuni za triangle halafu na la circle.
Sauda JF-Expert Member Jun 26, 2018 860 1,106 Oct 22, 2018 #11 Jana @ Kiranga alimuuliza Safuha kama kuna "Pembetatu duara" Sasa naona hapa majibu yamepatikana! Cc; Kiranga na Safuha
Jana @ Kiranga alimuuliza Safuha kama kuna "Pembetatu duara" Sasa naona hapa majibu yamepatikana! Cc; Kiranga na Safuha
Castr JF-Expert Member Apr 5, 2014 32,014 64,067 Oct 22, 2018 #14 Nikiona namba namba au nikiona mazingira yanayomaanisha kuna swala la mathematics hua nachochora kama ifuatavyo
Nikiona namba namba au nikiona mazingira yanayomaanisha kuna swala la mathematics hua nachochora kama ifuatavyo
Sir Khan JF-Expert Member Jul 28, 2018 5,276 9,742 Oct 22, 2018 #15 umekosea sana kumtaja Wema sepetu
Kijana kijana JF-Expert Member Mar 11, 2018 2,546 2,616 Oct 22, 2018 Thread starter #16 Sauda said: Jana @ Kiranga alimuuliza Safuha kama kuna "Pembetatu duara" Sasa naona hapa majibu yamepatikana! Cc; Kiranga na Safuha Click to expand... Anahusika vipi kiranga kwa mfano? Hapo katajwa na wema.
Sauda said: Jana @ Kiranga alimuuliza Safuha kama kuna "Pembetatu duara" Sasa naona hapa majibu yamepatikana! Cc; Kiranga na Safuha Click to expand... Anahusika vipi kiranga kwa mfano? Hapo katajwa na wema.
Kijana kijana JF-Expert Member Mar 11, 2018 2,546 2,616 Oct 22, 2018 Thread starter #17 reyzzap said: Mkuu unaongea mwenyewe? Click to expand... Nimeandika mwenyewe
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Oct 22, 2018 #18 Kumbe ni jukwaa la elimu! Ngoja nitoke kwanza kidogo, nitarudi baadae baadae
Kijana kijana JF-Expert Member Mar 11, 2018 2,546 2,616 Oct 22, 2018 Thread starter #19 Sauda said: Kiranga Njoo umuone mtesi wako! Click to expand... Sauda! Sauda! Sauda!
andjul JF-Expert Member Dec 14, 2013 18,709 119,605 Oct 22, 2018 #20 Kichwa Kichafu said: Mkuu Naona Umechanganya Ugali Na Ubwabwa Click to expand... Unataka kusema hata BAM kwako ulikuwa ni ugonjwa wa (kurithi) ukoo?!!
Kichwa Kichafu said: Mkuu Naona Umechanganya Ugali Na Ubwabwa Click to expand... Unataka kusema hata BAM kwako ulikuwa ni ugonjwa wa (kurithi) ukoo?!!