Hii ndiyo maana ya neno Ponjoro

Hii ndiyo maana ya neno Ponjoro

Abas Tarimba ni ibirisi mkubwa ana pepo la kuua kuteka kuonea kunyanyasa watu na kuwaibia watu pesa zao kupitia kamali ni mwizi na pia muuza unga, anajipendekeza kwa ccm makao makuu ili kuficha maovu yake
 
Ponjoro ni ndege flan ana manyoya kichwani mengi na mkia mrefu.. makabila mengine wanaita panja/ipanja
 
Damu za waliotekwa na kufa wote Damu zao zilpwe na Abasi Tarimba ponjoro a k a mkorogo
 
Ponjoro ni ndege flan ana manyoya kichwani mengi na mkia mrefu.. makabila mengine wanaita panja/ipanja
Gwajima yeye alimaanisha jitu linalojichubua yaani mkororogo
 
Yes, ni racial slurs. Ni kama kule ughaibuni kumwita mtu mweusi ni&&er. Inasikitisha kwamba watu wanashangilia tu bila kupima madhara yake kwenye jamii.
Kwa jinsi alivyongea utumbo bungeni, Hilo jina linamstahili kabisa
 
Unaweza kuwa na elimu stadi, na ukawa mjinga kabisa, reason, "Elimu yetu ni ya kukariri na baadae unapewa mitihani ujibu yale uliyokariri"""
Ulichoweka hapa; ndiyo elimu unayojivunia wewe?

Hebu soma tena haya maneno uyaelewe mwenyewe: "Unaweza kuwa na elimu stadi, na ukawa mjinga kabisa"

Ni mtu aliye changanyikiwa kichwani pekee ndiye anayeweza kuandika na kuamini maajabu haya!

Halafu fikiria juu ya hayo maneno uliyo yakoleza hapo...,! Mantiki yake ni nini?
 
Kwanza nawasalimu nyote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili nikiwa kama msomi wa vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, nimepokea na kukubali jina la Ponjoro wa Kinondoni.

Maana ya Ponjoro ni Chotara au Shombe shombe.

Weka mkeka wako mpe ushindi Pyramid namaanisha Pyramid ndiye umpe ubingwa.

Kono la nyani nimekupa tip nawewe ubet kwa sadaka za leo, weka zote zinarudi na pesa.
Ponjoro ni neno la kisukuma likiwa maana ya mjakazi katika Familia za kifugaji(kwa sasa ni shamba boy)
 
Back
Top Bottom