Hii ndiyo maana ya neno Ponjoro

Hii ndiyo maana ya neno Ponjoro

Sio kwamba Gabachori na ponjoro ni racial slurs?
Yes, ni racial slurs. Ni kama kule ughaibuni kumwita mtu mweusi ni&&er. Inasikitisha kwamba watu wanashangilia tu bila kupima madhara yake kwenye jamii.
 
Kwanza nawasalimu nyote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili nikiwa kama msomi wa vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, nimepokea na kukubali jina la Ponjoro wa Kinondoni.

Maana ya Ponjoro ni Chotara au Shombe shombe.

Weka mkeka wako mpe ushindi Pyramid namaanisha Pyramid ndiye umpe ubingwa.

Kono la nyani nimekupa tip nawewe ubet kwa sadaka za leo, weka zote zinarudi na pesa.
Yule wa Kizimkazi naye pia ni Ponjoro au?
 
Kwanza nawasalimu nyote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili nikiwa kama msomi wa vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, nimepokea na kukubali jina la Ponjoro wa Kinondoni.

Maana ya Ponjoro ni Chotara au Shombe shombe.

Weka mkeka wako mpe ushindi Pyramid namaanisha Pyramid ndiye umpe ubingwa.

Kono la nyani nimekupa tip nawewe ubet kwa sadaka za leo, weka zote zinarudi na pesa.
Ponjoro tulikubaliana kamari ni dhambi! Acha kuendekeza kamari, na pia acha ubaguzi wa kuwapendelea watoto wa ma Ponjoro wenzako.
 
Kwanza nawasalimu nyote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili nikiwa kama msomi wa vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, nimepokea na kukubali jina la Ponjoro wa Kinondoni.

Maana ya Ponjoro ni Chotara au Shombe shombe.

Weka mkeka wako mpe ushindi Pyramid namaanisha Pyramid ndiye umpe ubingwa.

Kono la nyani nimekupa tip nawewe ubet kwa sadaka za leo, weka zote zinarudi na pesa.
Duh!..
 
Siyo kweli. Maana ya "Ponjoro" siyo "shombe au Chotara".
Ponjoro ni watu wa asili ya India, wahindi.

Unatueleza habari za "usomi wa vyuo mbalimbali" bila kuvitaja hivyo vyuo; lengo la taarifa hiyo ni nini wakati haihusiani chochote na maudhui ya mada yako. Maneno machache tu hapa yanaonyesha usomi feki unaojidai nao.
Unaweza kuwa na elimu stadi, na ukawa mjinga kabisa, reason, "Elimu yetu ni ya kukariri na baadae unapewa mitihani ujibu yale uliyokariri"""
 
Maana yake ni jitu linalojichubua yaani kama Nyoshi El sadati, mkorogo wa kutoka Congo
 
Yes, ni racial slurs. Ni kama kule ughaibuni kumwita mtu mweusi ni&&er. Inasikitisha kwamba watu wanashangilia tu bila kupima madhara yake kwenye jamii.
Abas Tarimba wakati anamwanza uchokozi Gwajima alishangiliwa Bungeni acha na yeye ajutie ushetani wake wa kutetea utekaji watu
 
Hivi RPC Mponjoli Mwabulambo bado yupo ofisini kweli?


 
Abas Tarimba ni Mwarabu koko lakini pia hupiga Mkorogo mwingi tu , acha jina lipya limpe fundisho aache kutetea utekaji na mauaji
 
Hivi RPC Mponjoli Mwabulambo bado yupo ofisini kweli?


Wauluze ccm kwani ndiyo wamiliki wa Polisiccm
 
Back
Top Bottom