Hii ndiyo maana ya neno Ponjoro

Hii ndiyo maana ya neno Ponjoro

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
2,885
Reaction score
7,925
Kwanza nawasalimu nyote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili nikiwa kama msomi wa vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, nimepokea na kukubali jina la Ponjoro wa Kinondoni.

Maana ya Ponjoro ni Chotara au Shombe shombe.

Weka mkeka wako mpe ushindi Pyramid namaanisha Pyramid ndiye umpe ubingwa.

Kono la nyani nimekupa tip nawewe ubet kwa sadaka za leo, weka zote zinarudi na pesa.
 
Kwanza nawasalimu nyote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili nikiwa kama msomi wa vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, nimepokea na kukubali jina la Ponjoro wa Kinondoni.

Maana ya Ponjoro ni Chotara au Shombe shombe.

Weka mkeka wako mpe ushindi Pyramid namaanisha Pyramid ndiye umpe ubingwa.

Kono la nyani nimekupa tip nawewe ubet kwa sadaka za leo, weka zote zinarudi na pesa.
Utashitakiwa kwa kutumia jina la mtu aitwaye Ponjoro wa Kinondoni
 
Kwanza nawasalimu nyote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili nikiwa kama msomi wa vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, nimepokea na kukubali jina la Ponjoro wa Kinondoni.

Maana ya Ponjoro ni Chotara au Shombe shombe.

Weka mkeka wako mpe ushindi Pyramid namaanisha Pyramid ndiye umpe ubingwa.

Kono la nyani nimekupa tip nawewe ubet kwa sadaka za leo, weka zote zinarudi na pesa.
Kwahiyo wale kuku waitwao chotara, twaweza waita Ponjoro pia?
 
Kwanza nawasalimu nyote kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Pili nikiwa kama msomi wa vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi ya Tanzania, nimepokea na kukubali jina la Ponjoro wa Kinondoni.

Maana ya Ponjoro ni Chotara au Shombe shombe.

Weka mkeka wako mpe ushindi Pyramid namaanisha Pyramid ndiye umpe ubingwa.

Kono la nyani nimekupa tip nawewe ubet kwa sadaka za leo, weka zote zinarudi na pesa.
Siyo kweli. Maana ya "Ponjoro" siyo "shombe au Chotara".
Ponjoro ni watu wa asili ya India, wahindi.

Unatueleza habari za "usomi wa vyuo mbalimbali" bila kuvitaja hivyo vyuo; lengo la taarifa hiyo ni nini wakati haihusiani chochote na maudhui ya mada yako. Maneno machache tu hapa yanaonyesha usomi feki unaojidai nao.
 
Siyo kweli. Maana ya "Ponjoro" siyo "shombe au Chotara".
Ponjoro ni watu wa asili ya India, wahindi.

Unatueleza habari za "usomi wa vyuo mbalimbali" bila kuvitaja hivyo vyuo; lengo la taarifa hiyo ni nini wakati haihusiani chochote na maudhui ya mada yako. Maneno machache tu hapa yanaonyesha usomi feki unaojidai nao.
Acha kelele
 
Back
Top Bottom