Kuna vitu huwa tunashindwa kuvifahamu tu lakini kamwe ukishakuwa na chama tawala ambacho institutionally kiko corrupt huwezi kutegemea kupata mtu msafi. Hata watakaojitokeza kupiga kelele na kutuhumu wenzao ni kwa kuwa wanakuwa wamekosa mianya tu lakini si kwamba ni wasafi. Wako wapi akina Sitta, Mwakyembe na kundi lao la mgambo wa ufisadi? Unawasikia wakipiga kelele tena?
Kwa hiyo hata Chadema hawajapata mwanya,,ni mafisadi? Nchi nzima kwishney