Kinachoniudhi ni watu na taaluma zao wanoweza kutusaidia kutatua yanayotusibu lakini tunaishia kwenye siasa ambazo kikweli ni zinaishia kwenye theory na siyo practical. Kila saa mafisadi mafisadi mafisadi mafisadi, tuna rasilimali tunarasilimali. Tukiitwa kuisaidia kagoda ndiyo wa kwanza kuwasaidia kushinda kesi, kuwaandikia mikataba, kuaandikia business plan, kuwaandika magazetini kila siku kama ni sifa au kutafuta umaarufu. Jamani tuwapeleke mahakamani hawa watu, siyo kubweka tu? Ohh nimesema Jakaya mwizi kama anabisha aende mahakamani asipoenda kweli mwizi badala ya mwizi kupelekwa mahakamani tuache uhuni tuijenge hii nchi maana imeishia mikononi mwa wanasiasa na majambazi wachache wanaotumia makelele ya wanasiasa.