Kha! sasa hiyo ni maiti au mtu anapelekwa hospital? hembu liweke sawa Mkuu.
hembu!Hivi uwa ni EBU AU EMBU? nawe weka sawa mkuu
Kha! sasa hiyo ni maiti au mtu anapelekwa hospital? hembu liweke sawa Mkuu.
Picha imenisikitisha sana.
Hivi uwa ni EBU AU EMBU? nawe weka sawa mkuu
Huuuwwwwi hii ilikua tosha kabisa kuandamana
Wabongo hatuwezi kuandamana kwa mambo ya msingi kama hayo, ole wake ajitokeze mtu akashifu dini yetu ndo utauona moto wetu
Halafu "ooohhh, vibajaji havifai"!
Wabongo hatuwezi kuandamana kwa mambo ya msingi kama hayo, ole wake ajitokeze mtu akashifu dini yetu ndo utauona moto wetu