Mambo ya watu kuwa assimilated CCM sio ya leo.
Ben Mkapa alimchukua Lamwai wa NCCR
JK akiwa na Makamba Yusuf
Wakamchukua kibajaji toka CUF
Dr. Kaborou toka CDM
Tambwe Hiz toka CUF
Dani Makanga toka UDP
inawezekana msimu huu watu wanaongezeka based on population increase na kitaa kuwa kigumu. Maana wana potential ya kupeperusha bendera ya kuwa na hakika ya account kusoma mwisho wa mwezi.
It hard to negotiate at point of weakness you know, when the wallet has few bucks and there is no certain to feed the family
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.