Wadau mwanzoni nilikuwa sijamwelewa Mh Magufuli kuhusiana na mkakati wake wa kuimalisha na kuunda CCM mpya!.
Wafuatao hapa chini na wengine unao wafahamu ndio wanaounda CCM mpya ya Mh Magufuli, na wengi wao tumekuwa tukijua misimamo yao ya kisiasa na kiitikadi kabla ya kuingia katika timu hii ya CCM mpya.
1. Dr Bashiru
2. Polepole
3. Dr Slaa
4. Mwita Waitara
5. Dr Mashinji
6. Mtatiro
7. Kafulila
8. Machali,
9. Na wengine wengi waliounga mkono juhudi.
Kweli kwa sasa nimemuelewa Mh Magufuli, hii ni CCM mpya sio CCM ya Jakaya!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafuatao hapa chini na wengine unao wafahamu ndio wanaounda CCM mpya ya Mh Magufuli, na wengi wao tumekuwa tukijua misimamo yao ya kisiasa na kiitikadi kabla ya kuingia katika timu hii ya CCM mpya.
1. Dr Bashiru
2. Polepole
3. Dr Slaa
4. Mwita Waitara
5. Dr Mashinji
6. Mtatiro
7. Kafulila
8. Machali,
9. Na wengine wengi waliounga mkono juhudi.
Kweli kwa sasa nimemuelewa Mh Magufuli, hii ni CCM mpya sio CCM ya Jakaya!.
Sent using Jamii Forums mobile app