Hii ndio picha halisi ya Yesu

Ubarikiwe 🙏

Picha ya Yesu imefutwa tusiione wanadamu Katika macho ya nyama, Bali Katika Roho.

Sura ya Yesu ni Sura ya Mungu mwenyewe!
 
Upo nyuma kimaendeleo. Kwa mara ya kwanza nilimsoma Yesu kwenye kitabu ya Historia cha form five na six. Kitabu kiliezea matukio yote ya historia mpaka vita ya pili ya dunia.
Kusoma kitu kwenye kitabu haimaanishi kwamba kitu hicho kina exist kwenye uhalisia.

Hata Dragons 🐉 watemao moto midomoni mwao tuliwasoma kwenye vitabu, lakini hawapo kwenye uhalisia.

Hata Vampires tunawasoma kwenye vitabu ila kwenye uhalisia hawapo.

Vivyo hivyo, Huyo Yesu wako ni fictional character wa vitabuni tu. Hayupo kwenye uhalisia.

Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
 
Ukifikiria Kwa undani hutapata picha.
ILa amini kwamba hakuna mtu mwili aliepata mateso ndani ya masaa kumi na mbili Hadi kifo kama yeye YESU .Na hatokuja atokee Hadi mwisho wa dahari,
Tumsifu yesu kristu
 
Ukitaka kuelewa Dragon nenda kawaulize wachina ndio wanaelewa kuhusu dragon ukiangalia kwenye movie utadanganyika. Dragon yupo kwenye tamaduni za wachina.
 
Yesu hajawahi kuwepo hayupo na hatakaa awepo.

Yesu ni fictional character. Ndio maana hakuna picha halisi ya Yesu.

Kuna picha za waigizaji wa Uingereza Brian Deacon na Robert Powell walio igiza filamu ya Yesu kuhadaa wajinga.

Hakuna Yesu.

Hakuna Mungu.
 
Ukitaka kuelewa Dragon nenda kawaulize wachina ndio wanaelewa kuhusu dragon ukiangalia kwenye movie utadanganyika. Dragon yupo kwenye tamaduni za wachina.
Kwenye tamaduni wapi?

Sehemu gani?

Hakuna Dragons 🐉 kwenye uhalisia. Dragons wapo vitabuni tu.

Dragon 🐲 ni myths tu.

Vivyo hivyo, Huyo Yesu wenu ni myths tu wa kwenye vitabu.

Yesu hajawahi kuwepo na hayupo.
 
Chukua biblia yako anza kusoma utakutana na Yesu wala usiangaike.
 
Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Huyo Yesu ni sawa na Abunuwasi wa kwenye hekaya.

Hekaya za Biblia= Hekaya za Abunuwasi.

Yesu= Abunuwasi.

Fictional characters.

Imaginations just an illusion.
Kabisa hizi hadithi za mtu kuzaliwa na bikira na kufa siku ya tatu kufufuka ni hadithi za abunuasi ambazo misri ya kale , Greek , mesapotania , na India zilikuwepo tangu kale mno , Constantine wa roma ya kale aliwaweza kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…