Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,132
Al Shabab hawaj Tanzania milele kwasabab hatuna majeshi SomaliaMie nimefurahi kuona Al Shabab wataingia tz kirahisi.
Al Shabab hawaj Tanzania milele kwasabab hatuna majeshi SomaliaMie nimefurahi kuona Al Shabab wataingia tz kirahisi.
Image captionBara la Afrika limezindua rasmi cheti chake cha kusafiria!
Je unamiliki cheti cha kusafiria cha taifa lako?
Hivi Karibuni, itakuwa hauhitaji cheti hicho madamu wewe ni mwafrika !
Kisa na maana ,,,, Bara la Afrika limezindua rasmi cheti chake cha kusafiria!
Madhumuni ya AU umoja wa Afrika kuzindua cheti hicho ni kuvunja mipaka iliyowekwa na mkoloni alipoigawanya Afrika ilikuitawala katika karne iliyopita.
Image captionViongozi wa kwanza kupewa cheti hicho ni rais mwenyeji wa kongamano hilo Paul Kagame wa Rwanda na mwenzake wa Chad rais Idris Deby.
Viongozi wa kiafrika wamezindua cheti hicho maalum mjini Kigali Rwanda katika kongamano la viongozi wa Afrika.
Wakwanza kupewa cheti hicho watakuwa ni viongozi wenye hadhi ya kupewa vyeti vya kidiplomasia.
Viongozi wa kwanza kupewa cheti hicho ni rais mwenyeji wa kongamano hilo Paul Kagame wa Rwanda na mwenzake wa Chad rais Idris Deby.
Image captionMadhumuni ya AU umoja wa Afrika kuzindua cheti hicho ni kuvunja mipaka iliyowekwa na mkoloni alipoigawanya Afrika ilikuitawala katika karne iliyopita.
Marais wote waliohudhuria kongamano hilo watapewa cheti hicho cha AU kabla ya kukamilika kwa mkutano huo.
Mawaziri wa maswala ya kigeni na viongozi wakuu katika umoja wa Afrika pia wanatarajiwa kufaidi cheti hicho cha kusafiria.
Umoja wa Afrika unatarajia kuwa mataifa ya kiafrika yataanza kutoa vyeti hivyo vipya vya usafiri kufikia mwaka wa 2018.
Usisahau kuna passport ya EAC.Waafrika tukikomaa wenyewe tunaweza jitoa, ila i dont see this happening in anyway. Viongozi walio hungry na power Africa ni wengi mno, kila moja ananifikiria mwenyewe tu. Hata hii passport hiyo 2018 ikifika hawajavunja agreement ni bahati sana.
Mkuu hizi ni comedy za wanasiasa wa kiafrika tu. Naomba sana wana JF wengi msizitilie maanani.Kwa ukiwa na passport hiyo hahuitaji viza kuingiaaa kwenye nchi ambayo unatarajia kwendaa?au
Nmekusomaa mkuuMkuu hizi ni comedy za wanasiasa wa kiafrika tu. Naomba sana wana JF wengi msizitilie maanani.