The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,396
- 103,819
Kufa kwa kiu baharini ni uzembe wako mwenyewe.
Naona unayo mingi sanaaKujamba ni afya ukiharisha kapime
BestNgariba haogopi mkojo....
Kamba iliyolegea km una haraka usiivute
Katisha sanaDaah, UKHUTY noma sn. Umetisha mbayaa..!!!
Nasikia vitu vya bei ndogo ndo anapewa RamaLakuchumpa, Lakuparama!!!
mpaka kesho silijui nili nn hilo??
Nyie watu!?Hongera na wewe umecomment
Kama maisha magumu, achana nayo fanya issue zengine1.Kusoma sana ni uwoga wa maisha
2.mjini hulali njaa ila utachelewa kula
3. Uoga wako ndo umaskini wako
4.heri kujikwaa kidole kuliko kujikwaa unlimited
5 akisoma atasumbua
AaaaahAcha kukuna makovu ya mende
DuuuuuKuna jamaa aliniambia msemo huu hadi leo cjajua maana yake "Cha mwenzio kigumu, meza mate ukalale"" huu msemo una maana gan huu?
Hahahahahahaha
Nafikiri hivyooo maanawazee wa zamani nadhani hapo kwenye nipe mji walikuwa na maana zaidi ya ile ambayo tumeizoea