ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,664
Kuna baadhi ya misemo ni mikali sana na ni migumuu kuielewa japo mingine ni rahisi sana kuielewa lakini unajikuta tuu automatically umeipenda! Mrisho mpoto,zembwela na baadhi ya wana hiphop hupenda sana kuitumia na humfanya mtu afikirie! Wale madereva wa Magari makubwa ya mizigo na dalala huwa na Hii misemo nafikiri wao ndio wanao ongoza
Leo naomba kushare nanyi baadhi ya misemo ...sema na ww kwako upi ni msemo mkali kwako
1.Hata Bibi naye alikuwa Binti
2.Ukimuona kuku kwa mganga ujue Rangi yake ndio imemponza
3.Hata Ukiogelea Binadamu watasema unawatimlia vumbi
4.Ukiona Manyoya Basi kaliwa
5.Mlango mkubwa lakini unalindwa kwa kufuli dogo
6.Kitendawili si Deni ukishindwa nipe mji
Endelea na wewe
Leo naomba kushare nanyi baadhi ya misemo ...sema na ww kwako upi ni msemo mkali kwako
1.Hata Bibi naye alikuwa Binti
2.Ukimuona kuku kwa mganga ujue Rangi yake ndio imemponza
3.Hata Ukiogelea Binadamu watasema unawatimlia vumbi
4.Ukiona Manyoya Basi kaliwa
5.Mlango mkubwa lakini unalindwa kwa kufuli dogo
6.Kitendawili si Deni ukishindwa nipe mji
Endelea na wewe