Hii ndio misemo mikali kwa Kiswahili

Hii ndio misemo mikali kwa Kiswahili

hii sijaielewa, naona kufungwa kwa makufuli ndio kunaonyesha ni nzuri kwa kuwa ingeibwa..kama wanavyofanya kwa ma safe ya fedha na madini ya thamani
Hapana umeelewa vingine,kufungwa kwa makufuli kaunta ina maanisha ukisha lewa waweza fanya chochote,ndio maana kaunta zikafungwa kwa magrill na kufuli ili kuepusha fujo au wizi baada ya kutumia Pombe....anyway dont take it serious coz ni joking tu.
 
  1. Nzi akiacha ujinga ipo siku atatengeneza Asali,
  2. Aliyekubeba usimtekenye,
  3. Ukiambiwa mjini Shule sio uje na daftari,
  4. Dunia ingekua ni Daladala,ningeshuka nipande lingine.
 
Kuna jamaa aliniambia msemo huu hadi leo cjajua maana yake "Cha mwenzio kigumu, meza mate ukalale"" huu msemo una maana gan huu?
 
1.Kusoma sana ni uwoga wa maisha
2.mjini hulali njaa ila utachelewa kula
3. Uoga wako ndo umaskini wako
4.heri kujikwaa kidole kuliko kujikwaa unlimited
5 akisoma atasumbua
 
7eb67ea0f9ca0c958e8104668f3f8dd1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom