Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia bongo

Michael Amon

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2008
Posts
8,769
Reaction score
3,644
Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia hapa bongo. Gari hii inamilikiwa na alikuwa makamu wa zamani wa Yanga Davis Mosha. Gari ya hii ina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja na aliinunua kwa Yusuph Bakhresa.

481172_144091479092772_630914720_n.jpg
 
hiii ungeweka chit chat watu wange kupm wakitaka namba ya david mosha
 
hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu.....
..na kuliendeshea kwenye barabara gani siju!!!
 
Kumbe ndiyo maana pamoja na ukongwe wao wa zaidi ya miaka 70 bado SIMBA & YANGA hazina hata uwanja wa kupigia "ONE TOCH"?

Big up Mheshimiwa Rage a.k.a Mzee wa mguu wa kuku usioondoke mpaka malengo yatimie.
 
duh bora uwe na VX V8 5 kuliko hiyo moja tena kadogo kwa bei ya VX 5
 
Back
Top Bottom