Hii ndio elimu inayotolewa na International schools

Two dads and child!
Aiseee hii kama apps za simu tunaita ni updated kwa kweli..

Wanafunzwa tangu wakiwa wadogo kuzoea ufuska na kuuona wa kawaida,
baada ya comment yako ndio nimeelewa hasa ufuska wa wanachofundishwa watoto kupitia hivyo vitabu, so sad kwa kweli, ni kuharibu watoto, ku a haja wa wizara husika kuhariri vitabu vya kufundishia
 
baada ya comment yako ndio nimeelewa hasa ufuska wa wanachofundishwa watoto kupitia hivyo vitabu, so sad kwa kweli, ni kuharibu watoto, ku a haja wa wizara husika kuhariri vitabu vya kufundishia

Yes mkuu, kama usipo angalia vizuri hapo hutoweza kuelewa kwa haraka, eti two moms and a child ..kweli!!! Uzungu ndio upo ivyo asee.

Natumai kupitia JF kitafikia wahusika
 
Shule yoyote waliopitisha ununuzi na matumizi ya kitabu cha aina hiyo bila Shaka ina walimu Vilazer na inastahili kufungiwa na wafutiwe
mi vyeti kabisaa!
 
Watanzania ni viumbe wa ajabu sana walio achana na matumizi ya akili zao tangu zama za mawe za kale kabisa........

Huo ukurasa mmoja wa karatasi ambao hata mtu mwenye uelewa kidogo wa kutumia computer na printer anaweza akauchapa umewafanya watu wote waamini hivyo..........

Ni rahisi sana kuonekana shujaa Tanzania si kwa kuwa na akili sana bali kwa kuongea kutokana na hisia za watu.......huku ukiwa mwepesi wa kusoma alama za nyakati
 
Watanzania ni viumbe wa ajabu sana walio achana na matumizi ya akili zao tangu zama za mawe za kale kabisa........

Huo ukurasa mmoja wa karatasi ambao hata mtu mwenye uelewa kidogo wa kutumia computer na printer anaweza akauchapa umewafanya watu wote waamini hivyo..........

Ni rahisi sana kuonekana shujaa Tanzania si kwa kuwa na akili sana bali kwa kuongea kutokana na hisia za watu.......huku ukiwa mwepesi wa kusoma alama za nyakati

Kuna mambo sio ya kuchukulia kirahisi, least of all jambo hili.
 
Mleta hoja ni mbulula wa kiwango cha standard gauge. Hicho kitabu kimepigwa marufuku na serikali na kilikuwa kinataka kuingizwa kwenye shule za english medium. MY POINT siyo kila shule inayotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia ni international school. So mleta hoja ni bora akaelewa tofauti ya english medium schools na international school. Kama anabisha aende IST au ISM kama atakuta kitabu kama hicho. Labda ametoa kwenye international school ya Kolomije ambako hata vyeti kwa wahitimu hakuna.
vyeti unapataje kama una ZERO
 
Of course uchunguzi unahitajika na ikibainika ishu ipo kweli basi hatua zichukuliwe.

Yes

Hayo ndio mawazo ya kila mwenye akili timamu na inayo fanya kazi

Tupo kwenye zama za ulimwengu wa biashara na hizi nyakati za ushindani wa hali ya juu kibiashara......wakati mwingine wapinzani wanaweza kutumia hata mbinu chafu ili kufanikisha Mambo yao......

HiZi ni nyakati ambazo mtu unapaswa kutumia akili yako Sawa sawa.....
 
b946725beb6e23f0d9e0ba931e564f36.jpg

Kwa elimu hii wanayopewa watoto wetu huko international schools, tujiandae kuwakamata kina Milembe na Shonza wengi sana huko mbeleni.
Dah.... Ukiangalia kwa jicho la kihisabati wala hakuna tatizo lolote ...Sasa wengine sijui mnaangalia kwa jicho gani
 
Duh!!!mbona ni hatari sana hii. Shule gani huko?? Halafu wanajishaua na mitaala ya Cambridge sijui Stamford, my ass. Kutuharibia watoto tu.
Wapeleke Kayumba wapate unachokihitaji, achana na hizo za 50 millions a year
 
Unajua tatizo la watanzania tulizoea kujifunza hadithi za "mende aangusha kabati"
"Kuku amfukuza paka"
"Kibanga ampiga mkoloni"
Na nyingine nyinginezo na hatutaki mabadiliko tumekalia uzamani kwa kila kitu.
Mimi mwanangu anajua kila kitu kwa habari za ukimwi,hii imempelekea kujua kuwa akiwa shule akikosa mswaki ni bora asipige kuliko kuokota wa mwingine au kutumia nyembe ambazo ameziokota.
Jamani dunia inakwenda mbio sana tofauti na mnavofikiri badirikeni wakuu
 
b946725beb6e23f0d9e0ba931e564f36.jpg

Kwa elimu hii wanayopewa watoto wetu huko international schools, tujiandae kuwakamata kina Milembe na Shonza wengi sana huko mbeleni.

Taja jina la shule elimu hii inatolewa. Sio kila kitabu kinachochapichwa ni kitabu cha kiada jombaa. Habari za mitandaoni uki copy na ku paste unaweza jikuta unaporosha au kutoa taarifa isiyo kamili.
 
Back
Top Bottom