Ras Rizzy G
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 225
- 241
EEH MOLA TUNUSURU KWA HILI BOMU LINALOTAKA KULIPUKA
Dah kweli mkuu hauna macho yaani two dads and children and two moms and children kwako imekaaa sawa tu ?Nimejaribu sijaona tatizo,
Bora wakajue hata hizo mom's na dads huko kuliko St. Kayumba
Ukisoma kwa mtaala wa cambridge umeamua hivyo.Dah kweli mkuu hauna macho yaani two dads and children and two moms and children kwako imekaaa sawa tu ?
Mleta hoja ni mbulula wa kiwango cha standard gauge. Hicho kitabu kimepigwa marufuku na serikali na kilikuwa kinataka kuingizwa kwenye shule za english medium. MY POINT siyo kila shule inayotumia lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia ni international school. So mleta hoja ni bora akaelewa tofauti ya english medium schools na international school. Kama anabisha aende IST au ISM kama atakuta kitabu kama hicho. Labda ametoa kwenye international school ya Kolomije ambako hata vyeti kwa wahitimu hakuna.
Kwa elimu hii wanayopewa watoto wetu huko international schools, tujiandae kuwakamata kina Milembe na Shonza wengi sana huko mbeleni.
Kwahiyo ni nini hicho?Kama unauhakika na unachokinena weka cover la hicho kitabu.
Hoja yangu ni kuwa hicho kitabu kinaweza kisiwepo nchini ila kinakitumiwa kutolea povu tu. Kama mtoa post anacho hicho kitabu aweke cover lake hapa!Kwahiyo ni nini hicho?
aaaah Daby hujacheck vizuri kuna promo ya ushoga na usagaji hapo ktk katuni hizo?Ungeeleza shida chifu.
Wapuuzi kweli haoDuh!!!mbona ni hatari sana hii. Shule gani huko?? Halafu wanajishaua na mitaala ya Cambridge sijui Stamford, my ass. Kutuharibia watoto tu.
DuuhNimejaribu sijaona tatizo,