kikurunge
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 669
- 661
Mkuu hilo bango na kilichoandikwa umekielewa kabla ya kunishambulia? Jipe mda ,angalia kwa makini halafu tafakari.Mwanao pia anajua kua wanaume wanaweza kukazana na kuzaa mtoto?
Kuna vitu vizuri vya kusupport ila reference uliyotoa haiendani na portray