Hii ndio bendera ya ACT, rangi na maana zake

Hii ndio bendera ya ACT, rangi na maana zake

Wakati chama hiki kinasajiliwa na Kinana, Nape aliwahi kusema Zambarau inawakilisha usaliti na ugaidi, wakati nyota inawakilisha kuwa chama kitakuwa wakala mwaminifu kwa ccm kudhoofisha upinzani

Mwenyekiti wa chama hiki kipya kilichoanzishwa na ccm, Kada mwaminifu wa CCM Zitto Kabwe hawezi kukanusha haya
 
Niliwahi kuuliza kwa nini waliamua kutumia rangi ya ZAMBARAU!!! nimejiridhisha (...ina rangi ya zambarau kuwakilisha taswira ya mchanganyiko wa wanachama kila kona ya nchi,utambuzi wa umuhimu wa wananwake,familia katika jamii, pia ni alama yenye kujali makundi yenye mahitaji maalum na ya ziada katika jamii kama ile watoto, wazee na walemavu...) Huku ulaya, rangi ya zambarau hujipambanua na wanamapenzi na ndoa za jinsia moja. Kuvaa rangi hiyo ni njia mojawapo ya kujipambanua. Hawa watuambie haya makundi wanayoya-ref kuwa ni yenye mahitaji maalumu kwa kificho wanamaanisha ni pamoja na ushoga! Ni nini hasa nia ya kutumia rangi hiyo??
Nina wasiwasi sana na hawa ACT na on what is behind the curtain.
 
tumaini jipya la kweli la watz

Nani kakudanganya kuwa Watanzania wanahitaji matumaini....watanzania wanahitaji mikakati bora,usimamizi mzuri wa mikakati hiyo ya kuwaletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
 
Bendera ya cham cha ACT - TANZANIA,ina rangi ya zambarau kuwakilisha taswira ya mchanganyiko wa wanachama kila kona ya nchi,utambuzi wa umuhimu wa wananwake,familia katika jamii, pia ni alama yenye kujali makundi yenye mahitaji maalum na ya ziada katika jamii kama ile watoto, wazee na walemavu.

NYOTA; Nama ya kumulika na kuagaza ikiasiria uwazi ambo ndio msingi mkuu w ACT.

RANGI ZA BENDERA YA TAIFA
; Kashiria uzalendo,upendo na utayari wa kuliinda na kulitumikia taifa

Nyota = Udini
 
Nyie inaonekana mmeshiba sana ! ...fedha za ccm.
Badala ya kujadili masuala ya taifa nyie mnaleta ujjinga wa rangi za bendera ya chama ambacho hakipo !!!
 
MHHHHHH SINA USEMI KUHUSU BENDERA ILA SASA HAOOOOO WANACHAMA NI FULL MKOROGO WA MAGAMBA:flame:
 
NCHI IMEZAMA NA INAHITAJI UKOMBOZI WA HARAKA, LEO MNALETA WATU TUKAE CHINI KUANZA KUJIFUNZA MAANA ZA RANGI ZA BENDELA YENU NA IMANI ZENU JUU YA RANGI!

Hatuna muda kuwasikiriza ili mjifunzie siasa na kuwagawa watu kuongeza vyama wakati hapa tunahangaika kuviunganisha vyama nyinyi mnavunja vyama vyenye nguvu halaf mnajiita mnahitaji umoja!

Mlitaka muwe wenyeviti na maraisi maana mmesoma sana. kuweni marais sasa ili mfurahi.

hyo ndo 'divide and rule policy' legacy ya toka miongo kibao iliyopita,hafu leo mnasema vyama vingi ndo demo
krasia
 
Rangi ya zambarau kwangu inawakilisha usaliti na kutojiamini.Nisije nikawaone huku kijijini kwangu
Naibili.Nitaagiza vijana wangu wawapopoe mawe! Am serious!

Rangi ya dhambarau inaashiria majonzi huzuni misiba sasa sijui hao ACT wamefiwa au na hyo nyota inaashiria msikiti kuonyesha ndiko walikoanzia.
 
Bendera ya cham cha ACT - TANZANIA,ina rangi ya zambarau kuwakilisha taswira ya mchanganyiko wa wanachama kila kona ya nchi,utambuzi wa umuhimu wa wananwake,familia katika jamii, pia ni alama yenye kujali makundi yenye mahitaji maalum na ya ziada katika jamii kama ile watoto, wazee na walemavu.

NYOTA; Nama ya kumulika na kuagaza ikiasiria uwazi ambo ndio msingi mkuu w ACT.

RANGI ZA BENDERA YA TAIFA
; Kashiria uzalendo,upendo na utayari wa kuliinda na kulitumikia taifa

Zambarau#usaliti
 
ACT Kirefu chake ni;
A_Anguko la
C_Ccm
T_Tanzania
Unajua mie mwanzo nilijua ni VICOBA
 
Kwa wakristo hiyo ni rangi ya kifo.

profilepic237123_1.gif


IMG_9095.jpg


attachment.php


Mvungi-Mwanga-1.jpg


0119.jpg


Wakati wa maziko mapadre au maaskofu huvaa mavazi ya rangi hiyo.

IMG_9669.JPG


1b.jpg

Jeneza pia hufunikwa kwa vitambaa vya rangi hizo

attachment.php


ACT, chama cha wenye AKILI KUBWA, wangetafuta ushauri mdogo tu kutoka kwa wenye akili za kawaida, wasingechukua rangi hii.
 
Zambarau ni rangi ya huzuni,misiba. Nyota ni rangi ya udini, uislamu. Nawashauri wekeni Kijivu...rang ya ardhi tele tuliyonayo
 
Nyota ni alama ya udini,angalia nchi zote za kiislamu utaona katka Bendera zao zina alama ya nyota na mwezi,lakini hawa ili isionekane kuwa chama ni cha kidini wameweka nyota tu.
Alama ya zambarau ni alama ya huzuni,misiba na inawakilisha wasaliti waliofukuzwa,hivyo wametumia rangi hiyo ya kusikitisha. R.I.P ACT( anguko la CCM Tanzania)
 
Politics in Tanzania have become a source of an employment, Not a platform to accomplish one's vision and mission for his/her country's prosperity.
 
Back
Top Bottom